October 3, 2011

IGUNGA UPDATES - CCM yatetea jimbo

Chama cha Mapinduzi kimeweza kutetea Jimbo la Igunga baada ya Msimamizi wa Uchaguzi jimboni humo kumtantaza mgombea wake kuwa mshindi kwa kura 26,484 dhidi ya kura 23 260  za mshindani wa karibu Chama Cha Demokrasia na Maendeleo. vyama ninane vilisimamisha wagombea tofauti na vyama viwili tu miezi 11 iliyopita. 



  • Jumla wa wapiga kura walioandikishwa ni 174, 077 
  • Wapiga kura waliojitokeza ni                        53,672
  • kura halali ni                                                    52,487, 

kuna tofauti kubwa sana ya waliopaswa kupiga kura na waliojitokeza kupiga kura, katika posti ya asubui nilisema kuwa kulingana na matokeo yalivyokuwa yakilipotiwa wapiga kura hawataweza kufikia nusu ya waliojiandikisha, hali halisi ndio hiyo watu zaidi ya 120, 405 hawakujikeza, hii ni takribani asilimia 70% KULIKONI?

No comments:

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...