August 1, 2011

Tiba ya Babu wa Loliondo - Kuna shuhuda?

Tiba za VIKOMBEZ, JE kuna mtu mwenye ushuhuda?


Yapata miezi kadhaaa sasa toka kuibuka kwa taarifa za uwepo wa uponyaji wa magonjwa sugu, yaliyoshindikana hospitalini kupitia kikombe kimoja tu cha dawa ya mitishamba kikichanganjwa na maombi almaarufu “KIKOMBE CHA BABU” toka kwa Mch. Msaafu Ambekile Mwasapile huko Loliondo.

Mengi yalisikika mara baada ya kuibuka ama kuvumbuliwa KIKOMBE hicho, vyombo vya habari  vya ndani na baadhi vya nje vilielekeza macho, masikio na ama pua zake huko, na hivyo wasomaji, wasikilizaji ama watazamaji wake kulishwa na kile kilichokuwa kikijiri huko, hii ilisababishwa umati wa watu toka pande zote za dunia kujaa kijijini Samunge kwa nia moja tu kupata kikombe.

Tulishuhudia mara ya baada Kikombe Cha Babu kuibuka na hatimaye kupata umaarufu mkubwa kupitia vyombo vya habari na zaidi kwa serikali karibu yoote kuelekea huko kupata kikombe, vilianza kuibuka vikombe vingine kila kona ya nchi yetu, woote wakidai kuwa “wameoteshwa” dawa ambayo yatolewa kupitia kikombe na kwa gharama kama ya Babu Tsh 500.

Imepita kitambo kidogo sasa hatujasikia kitu toka huko Loliondo ama kokote vilikoibuka vile “VIKOMBE”  vingine, ni takribani miezi mitano au sita toka tiba hizo au hiyo zianze kutolewa, tumesikia serikali na wataalamu wakitoa kila aina ya matamshi kuhusiana na tiba hiyo, nyingi zinajichangana ama kuwachanganya wanachi na zaidi wale waliowai kwenda kupata “kikombe” hiko.  

swali: Je hivi mpaka hivi sasa kuna mtu yeyote ana USHUHUDA wa nguvu kuhusu tiba hizi na zaidi ya Babu wa Loliondo?
Hii ni mbali na yule mama mmoja wa huko Samunge aliyedai kuponywa ukimwi.

Ikiwa kuna mtu anao ushuhuda, pliz tuwasiliane. 

Chonde Chonde ulevi noumaaa!!

Pombe za bure zatwaaa uhai wa Mzambia
Mwili za jamaa mmoja raia wa Zambia anayasadikiwa kufa baada ya kubugia pombe nying kupita kiasi ukitolewa toka hotel ya Southern Sun. 


A ZAMBIAN man was on Sunday found dead in a room at the Southern Sun Hotel in Dar es Salaam where three other people were discovered in a critical condition. 

The police associate the incident with excessive drinking of alcohol. The dead person has been identified by only one name, Baster. 

The three, who were unconscious, were rushed to the Muhimbili National Hospital (MNH) where, after receiving first aid, one of them gained consciousness and identified himself as Eliudi Sikwabi, a British national. 

He also named his colleagues as Ikbar Bahabur, a Zambian national and Omari, a Tanzanian. 

The Ilala Regional Police Commander (RPC), Mr Faustine Shilogile, said the body and the three men were found in room number 425 on the fourth floor. 

He said the four had earlier attended a wedding party where it is believed they took a substantial amount of alcohol. 

"They returned to the hotel and locked themselves in the room which Sikwabi had booked.They continued drinking because when the police arrived they found some bottles of spirits and glasses. 

Mr Shilogile said police are working with the hotel management to find out detailed information about the victims. Mr Shilogile denied reports that the incident was connected to drug trafficking. 

"The incident has nothing to do with drugs. What we have found out so far is that these people were drinking (excessively) in a hotel room. We found a bottle of whiskey and four glasses on a table," he said. 






Source: Daily news



Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...