November 2, 2011

Nelly Kamwelu na vazi la ufukweni.

Nelly Kamwelu akipeperusha bendera ya Tanzania na vazi la ufukweni katika Miss International 2011 huko China

Timbwili la Konda na Mama wa Usafi

Leo hii katika pitapita zangu ka-smart phone kangu kakanasa timwili hili la Konda wa Daladala na Mama wa Usafi barabarani, Mama anadai gari la jamaa limegonga na kuharibu kibao cha tahadhari ambacho ukiweka wafanyapo usafi, jamaa alikuwa anakimbia akakwidwa na mama. 






Jamani kina mama hawa shughuri yao ni ya muhimu sana kama zilivyo kazi zetu, tuwathamini hawa, fikilia kama wafanya usafi hawa wasingekuwepo miji ingekuwa inafananaje? Tuwathamini.

Taswira za Rock City Leo hii kupitia Ka-smart Phone kangu!!


"Tutakapozidiwa msuli wetu utakuwa mkubwa zaidi" 
RPC Liberatus Barlow, anasema hayuko tayari kuvumilia uvunjifu wowote wa amani jijini humo kwa kisingizio chochote kile 


Jiji zima lilikuwa kimyaa kwa kipindi fulani. 

Nini kinaendelea huko, kila mtu yuko roho juu.
Hali ilikuwa tete jijini Mwanza leo hii baada ya kundi kubwa la Waislam kujazana mahakamani na kufanya fujo wakati kesi ya kuchoma Koran ilipokuwa ikisikilizwa.

Ililazimika Polisi kuingilia kati na kuwatawanya kwa kutumia mabomu ya machozi wote, mji mzima ilikuwa ni patashika nguo kuchanika

ATCL Angani tena


Kigoma. Resumption of services by the Air Tanzania Company Limited (ATCL) has impressed residents of four regions of Burundi,  who said yesterday that it would ease their travel arrangements.Speaking at Kigoma airport yesterday during the ATCL inaugural flight, the governor (equivalent to regional commissioner) for Makamba Province in Burundi, Mr Niyayubaye Vicent, said it would now be easy for the residents of the four provinces which border Kigoma to travel by ATCL from Kigoma.

“It takes only 40 minutes drive by bus from Makamba to Kigoma to catch an ATCL flight while it is more than 170 kilometres to Bujumbura (Burundi capital). It is now easier to travel through Kigoma from our area,” he said.

Mr Vicent is leading a team of governors from four provinces in Burundi who have been invited by Kigoma regional commissioner, Lt Col (retired) Issa Machibya, to participate in celebrations to mark the country’s 50th independence anniversary.

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...