March 17, 2008
Mji Mkongwe hatarini
Baadhi ya majengo ya Mji Mkongwe yanaitaji uangalifu na marekebisho ya haraka kwani yanahatarisha maisha ya wapita njia na zaidi watalii.
TEH TEH TEH.............
FANI
Wanafani wanazidi kuongezeka, Jaji mkuu wa Zanzibar na Mkewe wakipata picha ya ukumbusho na JK.
Tekelinalotujia limeleta mabadiliko mengi ktk ufanyaji kazi, kuingia kwa digital camera kumeraishisha watu kupata kumbukumbu pasi kumuhitaji mpiga picha mtaalamu, kila mtu aweza kwenda ktk shughuri na kakamera kadogo mfukoni na kuchukua kumbukumbu azitakazo.
Je hii ya maanisha nini kwa wanafani? je huu ni mwisho wa wapiga picha wa mtaani na hata wa habari? naomba michango yenu na mitazamo juu ya fani hii na mustakabali wake.
Subscribe to:
Posts (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
It has been a while now that my life had taken on a sense of expectation. It has been almost 3 months since I met Russell Simmons at a char...
-
It’s not important to hold all the good cards in life. It`s important how well you play the cards which you hold. Often, when we lose...
-
On Tuesday, 7th July we witnessed the peak of the Saba Saba festivities. I never go to the Dar es Salaam International Trade Fair, these day...
-
Gadhafi na Obama With reported pockets of fighting remaining in Tripoli on Wednesday, the whereabouts of Lib...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
The government of Uganda is planning to pay a compensation fee to the government of Tanzania for the help offered Uganda in the 1979 liber...
-
Katuka mila nyingi za kiafrica ama kibantu ni utovu wa nidhamu kumwita mkubwa wako MWONGO ni kitendo cha dharau, nami nisingependa kabisa ku...
-
LONDON (Dow Jones)--U.K. defense giant BAE Systems PLC (BA.LN) Tuesday was fined GBP500,000 for improper accounting in relation to the award...