September 29, 2008
TANESCO YASITISHA MGAO.
TANESCO IMESITISHA MGAO WA UMEME BAADA YA WATAALAMU TOKA USA KUWASILI NA KUREKEBISHA KASORO ZLOJITOKEZA KATIKA MITAMBO YA KUZALISHIA UMEME YA SONGAS WIKI ILIYOPITA.
Mpiganaji aenda bondeni kwa matibabu
Mpambanaji au mpiganaji Athumani Hamis atimaye jana alifanikiwa kuondoka kwenda Bondeni kwa matibabu zaidi tokana na ajari ya gari aliyopata yapata zaidi ya wiki mbili sasa uko kibiti akielekea Kilwa,
anatarajiwa kupatiwa huduma ktk Hospital ya Millpark ktk jiji la Jo'burg.
KWA NIABA YA WADAU NA WAPAMBANAJI WOTE TWAKUOMBEA KWA MWENYEZI MUNGU MATITABU HAYO YAENDE SALAMA UPATE KUPONA NA HATIMAYE UREJEE KTK URINGO KUENDELEA NA MAPAMBANO,
TWAKABIDHI MAOMBI YETU KWA BABA MUNGU MWENYEZI TUKIAMINI YAKUWA KWAKE HAKUNA LISILOWEZEKANA NA KUWA TUKIOMBA NENO LOLOTE KWAKE HUKU TUKIAMINI BASI TUMEPEWA NALO LIMEKUWA LETU. Marko 11:24
Subscribe to:
Posts (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Prof Aloysius Mwessa Hnonoli ni Mbongo wa kwanza kuwa Mkurugenzi wa Muhimbili na Mkuu wa Chuo kikuu cha Tiba. Mstaafu huyu jana alitu...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...
-
Mineral occurrence in Tanzania by TMAA UONGEZAJI WA PATO LA MTANZANIA Mheshimiwa Spika, 46. Lengo la Dir...
-
Kina dada wengi hivi sasa imekuwa ni kawaida kwenye kila shughuri hasa za usiku kukuta wamevaa nguo fupi, wengi wanasema ni fashion...
-
Ukumbi huko nyuma ya Minara miwili ukiwa ni wa mviringo. Eneoe kubwa la chai na ukaguzi pamoja na usajili kwa waalikwa. Sehemu za waa...