August 17, 2012
Do you have Dreams and Goals to set?
This is a life changing Seminar, do you have BIG DREAMS or GOALS in LIFE? How can those dreams come true?
Our Dreams have to be SMART - Specific, Measurable, Attainable, Relevant and Timely,
Do you have specific DREAM that is MEASURABLE, ATTAINABLE, RELEVANT and TIMELY?
If YES! This seminar is for you.
Venue: Anatoglo, Mnazi Mmoja,
Date: 25th August 2012,
Time: 9am to 4pm
Entrance: 25,000 Early bird or 35,000 at the gate. (Lunch included)
August 16, 2012
The power of Mindset change – Shell story
The power of Mindset change – Shell
.
Marcus Samuel, Muuza duka la vitu vya mapambo ya baharini (Makombe) katika Jiji la London, alipofanya uamuzi wa kutanua biashara yake nje ya Uingereza na zaidi katika bara Asia mwaka 1833, hakuwa akijua kuwa alikuwa anaenda kukutana na kuanzisha biashara kubwa zaidi duniani, ya Mafuta na nishati.
Katika moja ya safari zake Japan na Urusi akipeleka makombe ya baharini au Shells alikutana na biashara nyingine tofauti na aliyozoea kuifanya ya makombe, bila shaka ilimchikua muda kidogo kuamua kuingia katika biashara hii mpya, nap engine ilimgharimu sana ikiwa ni pamoja na kutafuta wataalamu, lakini zaidi gharama za kufanya biashara hii mpya kabisa kwake.
“It was during a trip to Japan that Marcus became interested in the oil exporting business then based in Baku, Russia. The Rothschilds had invested heavily in the 1880s in rail and tunnels to overcome the transport difficulties of getting oil from this landlocked base to the Black Sea and from there to overseas markets. Shipping still posed a problem as the oil was carried in barrels, which could leak and took up much space in the ship’s hold.” Shell websites
Aligundua kuna biashara nzuri sana ya mafuta iwapo ataweza kuisafirisha mpaka Uingereza au Marekani, lakini changamoto kadhaa alikutana nazo, baadhi yake ni:
Jinsi gani ya kuyatoa mafuta hayo kutoka Baku, Urusi na kuyafikisha katika Bahari Nyeusi ili yaweze kupakiwa katika meliKwa changamoto hizo ilikuwa ni rahisi sana Marcus Samuel aachane na biashara hiyo na kuendelea na ile aliyoizoea ya makombe, kwani si ni tayari alikuwa anaingiza pesa nzuri tu, angeweza kuridhika na maisha yangeendelea bila shaka, lakini yasingelikuwa haya tuyajuayo leo, asingelikuwa na kitu cha kukaa na kuzungumza juu yake.
- Meli za kusafirishia mafuta hayo.
- Magari
- Mabehewa maaalumu
- Mapipa ya kupakia mafuta hayo, na haya yalikuwa na uwezekano wa kuvuja hivyo kupata hasara ilikuwa ni rahisi pia. Nk
Uamuzi wake wa kubadili mtazamo na kuamua kunigia gharama na bila shaka hasara mara kadhaa, kabla ya kupata mafanikio, kuanzisha kampuni kubwa ya mafuta inayozidi kufanya vyema duniani kwa karne na karne sasa, SHELL OIL Co Ltd, ndiyo vinamtenganisha na watu wengine wa wakati wake, na bila shaka wauza duka wengine kama yeye, hatuwezi kuwasikia hao, wamesahaulika kama hawakuwai kuwapo kwa sababu hawkufanya jambo lolote la kukumbukukwa ama kuacha alama au LEGACY. Hivi leo vituo vyote vya mafuta hapa Bongo vyaitwa Shell, lakini si wengi wanajua ni kwanini.
Fursa hizi zingalipoa hata leo hii, lakini wengi wetu twafungwa na mapokeo na labda elimu zetu au uvivu na woga wa kujaribu jambo jipya, tena ambalo hatukufundishwa mashuleni au vyuoni ama hakuna aliyewai kufanya kabla, pengine hata imani potofu toka kwa baadhi ya manabii wa uongo.
Tunaoishi nyakati hizi tuna bahati sana, tunauwezo wa kutafiti juu ya biashara, kazi, fursa ama elimu yoyote kupata ukweli ama uwongo wake tukiwa majumbani mwetu, tusipokuwa wavivu, hivi sasa waweza kufanya biashara na yeyote duniani, Kuuza na kununua, kuagiza chochote na kulipa kwa kutumia vidole vyako pasipo kutoka nyumbani kwa na ukapata bidhaa ama huduma uliyoagiza ama kulipwa papo hapo ulipo.
Tukibadili mitazamo yetu twaweza kufanya chochote na kufanikiwa katika kiwango cha kushangaza, waweza usiamini kuwa ni wewe, Tuweke bidiii kutafuta ukweli wa jambo lolote kabla ya kusema hii haiwezekani au siwezi, amini kila kitu kina wezekana, Biblia, maandiko matakatifu yatuasa “JARIBU MAMBO YOTE, LAKINI SHIKENI LILILO JEMA” 1 Wathesalonike 5:21, (Prove all things, hold fast that which is good”) Isitoshe neno USIOGOPE, wataalumu wa maandiko wanasema liko mara 365, ina maana Mungu anataka kila siku iitwapo leo uwe na moyo wa ujasiri na kujiamini katika kutenda na si woga, kwani woga ni dhambi mbele za Mungu.Wasiliana nami kwa simu 0784475576 au email brwebangira@gmail.com
SET YOUR GOALS, SET YOUR DREAMS
August 2, 2012
Hongera Assah Mwambene.
Hongera Asah A. Mwambene (41) kwa kuteuliwa kushika wadhifa wa Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO), hii ni nafasi kubwa na muhimu kwa taifa letu na zaidi katika tasnia ya habari.
Mh Rais Jakaya Kikwete ameakuamini sana hata kukuteua kuongoza idara hii nyeti katika kipindi zama hizi za taarifa ama Information Age ktk karne hii ya mawasiliano ya Sayansi na Teknologia, bila shaka unazo sifa na weledi kuongoza idara hii, japo ina changamoto nyingi, sote wanahabari twajua, tumia weledi, elimu, maarifa na zaidi busara katika si tu kuongoza bali pia kuibadili iendane na wakati tuliomo.
Hizi ni Zama za Taarifa na sote twajua "Information is Power", ushauri wangu ni mdogo sana, ifanye idara hii iendene na wakati, najua umesafiri sana nje ya nchi na kupata nafasi ya kujionea jinsi idara kama hizi katika nchi za wenzetu zinavyofanya kazi, kisasa zaidi, kitaaluma zaidi, na kiufanisi zaidi, zaidi ya yote kwa muda muafaka, kwani uzito wa habari ni muda.
Nafasi yako sasa ni ya kiutawala zaidi, si vibaya ukawa mwanafunzi wa gwiji wa mambo ya utawala, John Maxwell, ameandika na kuotoa vitabu na machapisho mengi sana juu ya LEADERSHIP, pata nakala kadhaa, sina shaka zitakufanya kuwa mtawala bora, kila la kheri katika wadhifa wako mpya.
Rwebangira Blog.
Mh Rais Jakaya Kikwete ameakuamini sana hata kukuteua kuongoza idara hii nyeti katika kipindi zama hizi za taarifa ama Information Age ktk karne hii ya mawasiliano ya Sayansi na Teknologia, bila shaka unazo sifa na weledi kuongoza idara hii, japo ina changamoto nyingi, sote wanahabari twajua, tumia weledi, elimu, maarifa na zaidi busara katika si tu kuongoza bali pia kuibadili iendane na wakati tuliomo.
Hizi ni Zama za Taarifa na sote twajua "Information is Power", ushauri wangu ni mdogo sana, ifanye idara hii iendene na wakati, najua umesafiri sana nje ya nchi na kupata nafasi ya kujionea jinsi idara kama hizi katika nchi za wenzetu zinavyofanya kazi, kisasa zaidi, kitaaluma zaidi, na kiufanisi zaidi, zaidi ya yote kwa muda muafaka, kwani uzito wa habari ni muda.
Nafasi yako sasa ni ya kiutawala zaidi, si vibaya ukawa mwanafunzi wa gwiji wa mambo ya utawala, John Maxwell, ameandika na kuotoa vitabu na machapisho mengi sana juu ya LEADERSHIP, pata nakala kadhaa, sina shaka zitakufanya kuwa mtawala bora, kila la kheri katika wadhifa wako mpya.
Rwebangira Blog.
Subscribe to:
Posts (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Prof Aloysius Mwessa Hnonoli ni Mbongo wa kwanza kuwa Mkurugenzi wa Muhimbili na Mkuu wa Chuo kikuu cha Tiba. Mstaafu huyu jana alitu...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...
-
Mineral occurrence in Tanzania by TMAA UONGEZAJI WA PATO LA MTANZANIA Mheshimiwa Spika, 46. Lengo la Dir...
-
Kina dada wengi hivi sasa imekuwa ni kawaida kwenye kila shughuri hasa za usiku kukuta wamevaa nguo fupi, wengi wanasema ni fashion...
-
Ukumbi huko nyuma ya Minara miwili ukiwa ni wa mviringo. Eneoe kubwa la chai na ukaguzi pamoja na usajili kwa waalikwa. Sehemu za waa...