February 28, 2009

Hasheem aendelea kutesa USA.

Kijana Hasheem Thabit anaendelea kufanya vyema huko majuu, fuatilia mahojiano yake zaidi hapa>>>>

Birth Day yangu hi wapi???

Mdau anasema kazaliwa tarehe 29 mwezi wa pili sasa arihadiwa zawadi nono na mpenzi wake sasa hajui hafanyeje maana anaona yapita dry. Je aisherehekee lini siku yake hii muhimu?????

Kikwete awaonya viongozi wastaafu

Rais Jakaya Kikwete amewaonya viongozi wa serikali wastaafu kuacha kuingilia serikali ya sasa, kwa kutoa kauli ‘vijiweni’ zinazoashiria kuwa serikali yake imeshindwa kiutendaji. Bila kutaja moja kwa moja wahusika, Rais Kikwete alisema viongozi hao wanasahau kuwa wanayoyasema hawakuyafanyia kazi wakati wa uongozi wao. Ifate hapa

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...