October 30, 2008

UKISTAAJABU YA MUSA.........................................

AMA KWELI UKISTAAJABU YA MUSA UTAONA YA FILAUNI, Akitoa maoni yake kuhusu hoja hiyo, Zitto ambaye alikuwa mjumbe wa Kamati ya Rais, alisema anaunga mkono pendekezo hilo la Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini la kutaka ufanyike uchunguzi huo, akieleza kuwa uuzwaji wa Buhemba unatia shaka kwani umeikosesha serikali fedha nyingi.
Alidai kuwa mgodi huo ulinunuliwa na mwekezaji kwa Dola za Marekani milioni 20, lakini mwekezaji akauuza kwa Dola za Marekani milioni 348 huku serikali ya Tanzania ikiambulia patupu.
Kuhusu mgodi wa Buhemba, alitaka uchunguzi wa ufanyike kwani mwekezaji aliyekuwa akiumiliki ameondoka katika mazingira yasiyojulikana tena bila ya kuwalipa wafanyakazi haki zao na kukiuka makubaliano mengi ya mkataba na baadaye kuuza kinyemela mgodi huo kwa kampuni ya Maremeta.

OIC, MEMBE AENDA KUMWONA PENGO

Waziri Membe jana alikutana na Kardinali Pengo juu ya sakata la Bongo kujiunga na jumuiya ya Kiislamu OIC kikao hichi kilikuwa cha siri yalozungumzwa ni wenyewe wanajua ni hadi pale watakapo yabainisha na nina imani si siku nyingi tutayajua.

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...