May 28, 2009

Mwakyembe Asikitishwa na taarifa ya Polisi..

BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA MBUNGE WA JIMBO LA KYELA S.L.P. 44, S.L.P. 20797 Kyela Dar Es Salaam 28/05/2009
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Nimesikitishwa na kufedhesheshwa na taarifa ya Jeshi la Polisi iliyotolewa Iringa Jumatatu iliyopita na Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini James Kombe na kutangazwa na vyombo mbalimbali vya habari kuhusu mazingira ya ajali ya gari niliyopata tarehe 21, Mei 2009, saa 1 na dakika 10 eneo la Ifunda, mkoani Iringa. Taarifa hiyo ya Polisi inakanusha maelezo yangu yote na ya dereva wangu kuhusu ajali ilivyotokea na kunitaka nijiepushe kutoa matamshi kuhusiana na ajali hiyo kwa madai kwamba sina utaalamu na masuala ya ajali. Taarifa hiyo nimeipata kupitia gazeti la Tanzania Daima la Jumanne, Mei 26, 2009 na kwa kuwa uwasilishwaji wake haujalalamikiwa na Jeshi la Polisi, naichukulia taarifa hiyo kuwa sahihi.
Pamoja na kwamba bado naumwa na niko nyumbani nikipumzika kwa ushauri wa madaktari, nimelazimika kuvunja ukimya na kutoa taarifa hii fupi kuzuia upotoshaji wa makusudi unaofanywa na magazeti, hususan gazeti la Tanzania Daima, na baadhi ya viongozi wa Jeshi la Polisi kwa sababu wanazozijua wenyewe kuhusu suala hili. Aidha nataka kuelezea masikitiko yangu kuhusu hatua hiyo ya Jeshi la Polisi ambayo ina mwelekeo zaidi wa kisiasa kuliko utaalamu wa upelelezi na uendeshaji mashitaka kama ifuatavyo:

Tujikumbushe - Idd Amin Dadaa alikuwa ajiitaje?

Wengi wetu twaweza kuwa tumesahau au hatujui kwa kuwa hatukuwai sikia mahala popote kutokana labda na umri wetu, au tu kutofuatilia yanayoendelea au yaliyokuwa yakiendelea kwa wakti uliopita, lakini huyu anaweza kuwa ni mmoja (kama si yeye pekee) ya kiongozi pekee aliyewai kujipa majina na nyadhifa nyingi tu jina.
Alikuwa akijiita “His Excellency, President for Life, Field Marshal Al Hadji Doctor Idi Amin Dada, VC, DSO, MC, and Conqueror of the British Empire.”

Kufuli mpya kwa kinadada

Wazungu kwa ubunifu tu ni kiboko, Kina Dada hii ni aina mpya ya kufuli jionee 

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...