Waumini wa dini ya Kikristo wamejitokeza leo ktk viwanja vya Mnazi Mmoja kuombea Busara kwa viongozi ktk kufanya maamuzi juu ya saula la nchi kujiunga na Jumuiya yaKiislamu OIC na kuanzishwa kwa mahakama ya Kadhi.
November 9, 2008
NEC YA CCM YAENDELEA
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na mwenyekiti wa wazee mkoa wa Dodoma Mzee Omar Sulieman mwenye umri wa miaka 102 wakati wazee wa mkoa huo walipokutana naye ikulu ndogo mjini Dodoma na kumpongeza kwa utendaji kazi wake mahiri leo asubuhi
Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya SHIVACOM GROUP iliyodhamini utengenezajia wa vifaa mbalimbali kwa ajili ya maandalizi ya uchaguzi mkuu wa umoja wa vijana wa CCM ndugu TANIL SOMAIYA, akimkabidhi baazi ya vifaa hivyo vyenye thamani ya shilingi milioni 400 Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Kikwete Makamo Makuu ya CCM Dodoma Leo.
Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais Jakaya Kikwete akisisitiza jambo kwa wajumbe wa kikao cha Halmashauri kuu ya CCM kinachoendelea leo katika ukumbi wa Halmashauri kuu ya CCM Makao Makuu Mjini Dodoma. kushoto katibu Mkuu wa CCM Yussuf Makamba.
BYE BYE SALAMANDER
Subscribe to:
Posts (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Prof Aloysius Mwessa Hnonoli ni Mbongo wa kwanza kuwa Mkurugenzi wa Muhimbili na Mkuu wa Chuo kikuu cha Tiba. Mstaafu huyu jana alitu...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...
-
Mineral occurrence in Tanzania by TMAA UONGEZAJI WA PATO LA MTANZANIA Mheshimiwa Spika, 46. Lengo la Dir...
-
Kina dada wengi hivi sasa imekuwa ni kawaida kwenye kila shughuri hasa za usiku kukuta wamevaa nguo fupi, wengi wanasema ni fashion...
-
Ukumbi huko nyuma ya Minara miwili ukiwa ni wa mviringo. Eneoe kubwa la chai na ukaguzi pamoja na usajili kwa waalikwa. Sehemu za waa...