November 9, 2008

VIONGOZI WAOMBEWA BUSARA.

Waumini wa dini ya Kikristo wamejitokeza leo ktk viwanja vya Mnazi Mmoja kuombea Busara kwa viongozi ktk kufanya maamuzi juu ya saula la nchi kujiunga na Jumuiya yaKiislamu OIC na kuanzishwa kwa mahakama ya Kadhi.

NEC YA CCM YAENDELEA

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na mwenyekiti wa wazee mkoa wa Dodoma Mzee Omar Sulieman mwenye umri wa miaka 102 wakati wazee wa mkoa huo walipokutana naye ikulu ndogo mjini Dodoma na kumpongeza kwa utendaji kazi wake mahiri leo asubuhi Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya SHIVACOM GROUP iliyodhamini utengenezajia wa vifaa mbalimbali kwa ajili ya maandalizi ya uchaguzi mkuu wa umoja wa vijana wa CCM ndugu TANIL SOMAIYA, akimkabidhi baazi ya vifaa hivyo vyenye thamani ya shilingi milioni 400 Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Kikwete Makamo Makuu ya CCM Dodoma Leo.
Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais Jakaya Kikwete akisisitiza jambo kwa wajumbe wa kikao cha Halmashauri kuu ya CCM kinachoendelea leo katika ukumbi wa Halmashauri kuu ya CCM Makao Makuu Mjini Dodoma. kushoto katibu Mkuu wa CCM Yussuf Makamba.

Mhe. Nyaulawa ametutoka.

Mbunge wa Mbeya Vijijini Richard Nyaulawa amefariki dunia usiku wa kuamkia leo.

RIP.

BYE BYE SALAMANDER

KIJIWE MAAARUFU CHA SALAMANDA LEO HII NDO CHAVYNJWA RASMI KUPISHA MWENDELEZAJI KUWEKA KITU KINGINE, JE WADAU NA MLIO UGHAIBUNI AU MAARUFU WABEBA MABOKSI MWAKIKUMBUKAJE KIJIWE HICHI MAARUFU NCHINI NA ATA HUKO NG'AMBO

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...