October 27, 2011
Ukistaajabu ya Musa....
Hizi ni picha mbili halisi ambazo zimepitishwa photoshop kuhifadhi maadili, niliwai kupost hiyo ya chini hapa na kule facebook, nimekuwa nikipata maoni mbalimbali, lakini wengi wakitaka kujua kama hii ni picha halisi, hivyo nimeamua kuweka picha halisi ambayo sikutaka kuiweka kabla, huyu mdudu amewekwa hapo kuhifadhi maadili tu, lakini akiruka ni balaaa,
Maswali kadhaa wachangiaji wamekuwa wakioji,
- je ni nani dada huyu?
- Je kupanda jukwaani akiwa hivyo ni masharti ya mmiliki wa bendi au ni matakwa binafsi?
- Je ni nchi gani na hii ni bendi gani?
- Mamlaka husika zinasemaje juu ya hili? NK.
Kwa hakika mimi sina majibu, isipokuwa picha hii ilitoka kule Jamii Forum ambako nako kulikuwa na mjadala wake mkubwa, tena iliwekwa pasipo hako kanzi.
Wapo wasomaji waliojaribu kubashiri ama kusema kuwa hii ni Uganda lakini wakapishana kuwa ni bendi gani.
Mimi sijui, iwapo kuna mdau yeyote mwenye kuweza kutujuza zaidi juu ya binti huyu na maswali yoote hapo juu itakuwa vyema. Karibuni wadau.
Zitto Kabwe - Hali mbaya,
HALI ya Naibu Katibu Mkuu wa Chadema na Mbunge wa Kigoma
Kaskazini, Zitto Kabwe ambaye alilazwa katika Hospitali ya Aga Khan,
ilibadilika ghafla jana jioni kuhamishiwa katika Hospitali ya Taifa
Muhimbili.Zitto alilazwa Aga Khan juzi jioni baada ya kusumbuliwa na maumivu ya
kichwa kabla ya kuruhusiwa na kisha kurudishwa baada ya maumivu hayo kuendelea.
Kaka wa mbunge huyo, Salum Mohamed alisema jana jioni kwamba
hali ya mdogo wake ilikuwa ikiendelea vyema lakini ilibadilika ghafla na kuanza
kutetemeka.
“Hali yake ya Zitto imegeuka kuwa mbaya, anatetemeka mwili
mzima na sasa tunampeleka Muhimbili kwa uangalizi zaidi,” alisema Mohamed.
Jana jioni, mwandishi wa gazeti hili alimtembelea Zitto Aga
Khan jana majira ya saa kumi jioni na kumkuta akiwa anaendelea vyema. Zitto,
ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za Mashirika ya Umma (POAC), alisema
maeneo mengine katika mwili wake yalikuwa yamepona isipokuwa maumivu ya kichwa.
Awali, Mkurugenzi wa Habari na Mawasiliano wa Chadema,
Erasto Tumbo alisema Zitto anasumbuliwa na ugonjwa wa kipanda uso.
Aliwataka wanachama wake chama hicho, kumuombea kiongozi huyo
ili apate nafuu na kushiriki kikamilifu kwenye vikao vya Bunge vinavyotarajiwa
kuanza Oktoba 8, mwaka huu.
Source: Mwananchi.
Ajari ya Deluxe Coach - Miili 12 kuzikwa na Serikali
Picha naYassin Nicas Mtei |
MIILI ya watu 12 walioteketea kwa moto katika ajali ya basi
la Deluxe Coach iliyotokea Misugusugu mkoani Pwani juzi, watazikwa leo na
Serikali kwa heshima zote katika kaburi moja katika eneo la Air Msae mjini
Kibaha.
Eneo hilo
ndipo walipozikwa watu waliopata ajali ya basi la Air Msae lililokuwa likitokea
Arusha kuja Dar es Salaam miaka ya 1990.
Uamuzi huo umefikiwa jana katika kikao cha Kamati ya Ulinzi
na Usalama ya Mkoa wa Pwani, iliyoongozwa na Mkuu wa Mkoa huo, Mwantumu Mahiza
kutokana na miili hiyo kuharibika vibaya na kushindwa kutambulika.
Akizungumzia mazishi hayo jana, Mahiza alisema kabla ya
maziko, miili ya watu hao itachukuliwa sampuli kwa ajili ya vipimo vya vinasaba
(DNA) ili vifanikishe utambuzi wao.
Taarifa kutoka Hosptali Teule ya Tumbi, zilieleza kuwa hata
wananchi waliokwenda kujaribu kutambua ndugu zao, walishindwa kufanya hivyo
kutokana na kuharibika kwa miili hiyo ambayo baadhi imekuwa majivu.
Kutokana na hali hiyo, Mahiza aliwataka wananchi kutoa
ushirikiano katika kufanikisha kuwatambua ndugu zao, kwa kupeleka vitu kama nguo ambazo ndugu zao walizitumia siku chache kabla
ya ajali hiyo.
Habari Leo,
JK akutana na Jumuiya ya Watanzania Australia.
Rais Jakaya Kikwete akizungumza na Mwenyekiti wa Watanzania
waishio Australia , Asimwe Kabunga katika
mkutano huo.
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete (kulia) akipokeamaua kutoka kwa Mweka Hazina wa Jumuia ya Watanzania
waishio Australia ,
Maryam Powell walipokutana na wanajumuia
mjini Perth Australia.
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete (kulia) akipokea
Rais Jakaya Kikwete alikutana na wanajumuia
kuzungumza mambo mbalimbali ya maendeleo na kijamii. Rais yupo nchini Australia
kuhudhuria mkutano wa wakuu wa nchi
wanachama wa jumuia ya madola ( Commonwealth Heads of Government meeting- CHOGM
2011,utakaoanza Oktober 28-30,2011. PICHA ZOTE/MWANAKOMBO JUMAA WA MAELEZO
Fibroids: Supplements provide permanent cure —Dr. Fadeyi
Fibroids: Supplements provide permanent cure —Dr. Fadeyi:
Definition according to Wikipedia.
In the US ,
symptoms caused by uterine fibroids are a very frequent indication for
hysterectomy. Fibroids are often multiple and if the uterus contains too many
leiomyomata to count, it is referred to as diffuse uterine leiomyomatosis. The
malignant version of a fibroid is extremely uncommon and termed a
leiomyosarcoma
Read More HERE
Bahati njema ni kuwa Supplements hizi zilizomponya mama huyo zinapatikana hapa Tanzania pia, ikiwa kuna kina mama wenye matatizo hayo wanaweza kuwaona wasambazaji binafsi wa FLP na watawapatia hizo supplements, ikiwa haumfahamu msambazaji yeyote binafsi wa FLP, Nitwangie 0716927070, 0764927070, 0784475576 au nitumie email hapo juu, nitakuunganisha na aliye karibu yako, ili tuokoe kina mama wanaosumbuliwa na matatizo hayo.
Definition according to Wikipedia.
A uterine fibroid (also uterine leiomyoma, myoma,
fibromyoma, leiofibromyoma, fibroleiomyoma, and fibroma) (the plural of myoma
is myomas or myomata) is a benign (non-cancerous) tumor that originates from
the smooth muscle layer (myometrium) and the accompanying connective tissue of
the uterus.
Fibroids are the most common benign tumors in females and
typically found during the middle and later reproductive years. While most
fibroids are asymptomatic, they can grow and cause heavy and painful
menstruation, painful sexual intercourse, and urinary frequency and urgency.
Some fibroids may interfere with pregnancy although this appears to be very
rare.
Read More HERE
Bahati njema ni kuwa Supplements hizi zilizomponya mama huyo zinapatikana hapa Tanzania pia, ikiwa kuna kina mama wenye matatizo hayo wanaweza kuwaona wasambazaji binafsi wa FLP na watawapatia hizo supplements, ikiwa haumfahamu msambazaji yeyote binafsi wa FLP, Nitwangie 0716927070, 0764927070, 0784475576 au nitumie email hapo juu, nitakuunganisha na aliye karibu yako, ili tuokoe kina mama wanaosumbuliwa na matatizo hayo.
Subscribe to:
Posts (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Prof Aloysius Mwessa Hnonoli ni Mbongo wa kwanza kuwa Mkurugenzi wa Muhimbili na Mkuu wa Chuo kikuu cha Tiba. Mstaafu huyu jana alitu...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...
-
Mineral occurrence in Tanzania by TMAA UONGEZAJI WA PATO LA MTANZANIA Mheshimiwa Spika, 46. Lengo la Dir...
-
Kina dada wengi hivi sasa imekuwa ni kawaida kwenye kila shughuri hasa za usiku kukuta wamevaa nguo fupi, wengi wanasema ni fashion...
-
Ukumbi huko nyuma ya Minara miwili ukiwa ni wa mviringo. Eneoe kubwa la chai na ukaguzi pamoja na usajili kwa waalikwa. Sehemu za waa...