March 6, 2010
Kakobe akubali yaishe.
Waziri wa Nishati William Ngeleja na Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Boble Fellowship Zakary Kakobe wakipitia nyaraka kabla askofu huyo kuridhia Tanesco kupitisha umeme maeneo ya kanisa hilo na kumaliza utata na mgomo wa takribani miezi miwili ambapo waumini wa kanisa hilo waliamua kukesha usiku na mchana ili kuzuia uwekaji nguzo na kupitisha umeme.
PPAT YAZINDUKA RASMI
Chama cha wapiga picha za Habari nchini Press Photographers Association of Tanzania (PPAT) leo hii kimezaliwa upya ama kufufuka rasmi baada ya kukaa domant kwa takribani miaka kadhaa na kufanya mkutano mkuu na kufanya uchaguzi kwa viongozi, ambapo viongozi wa zamani waliamua kujiuzulu na kupisha kufanyika kwa uchaguzi wa viongozi wapya.
Katika uchaguzi huo Mwanzo Millinga aliibuka kuwa mshindi wa nafasi ya Mwenyekiti, John Badi Mwenyekiti Msaidizi, Katibu Mkuu ni Mroki Mroki akisaidiwa na James Mpangala nafasi ya Mwekahazina ilienda kwa Leah Samike ambapo atasaidiwa na Mwanakombo Jumaa.
Wajumbe wa Kamati ya utendaji ni Khalfan Said, Moshi Kiyungi, Mpoki Bukuku na Ramadhani Tonge.
Subscribe to:
Posts (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Prof Aloysius Mwessa Hnonoli ni Mbongo wa kwanza kuwa Mkurugenzi wa Muhimbili na Mkuu wa Chuo kikuu cha Tiba. Mstaafu huyu jana alitu...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...
-
Mineral occurrence in Tanzania by TMAA UONGEZAJI WA PATO LA MTANZANIA Mheshimiwa Spika, 46. Lengo la Dir...
-
Kina dada wengi hivi sasa imekuwa ni kawaida kwenye kila shughuri hasa za usiku kukuta wamevaa nguo fupi, wengi wanasema ni fashion...
-
Ukumbi huko nyuma ya Minara miwili ukiwa ni wa mviringo. Eneoe kubwa la chai na ukaguzi pamoja na usajili kwa waalikwa. Sehemu za waa...