March 6, 2010

Kakobe akubali yaishe.

Waziri wa Nishati William Ngeleja na Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Boble Fellowship Zakary Kakobe wakipitia nyaraka kabla askofu huyo kuridhia Tanesco kupitisha umeme maeneo ya kanisa hilo na kumaliza utata na mgomo wa takribani miezi miwili ambapo waumini wa kanisa hilo waliamua kukesha usiku na mchana ili kuzuia uwekaji nguzo na kupitisha umeme.

PPAT YAZINDUKA RASMI

Chama cha wapiga picha za Habari nchini Press Photographers Association of Tanzania (PPAT) leo hii kimezaliwa upya ama kufufuka rasmi baada ya kukaa domant kwa takribani miaka kadhaa na kufanya mkutano mkuu na kufanya uchaguzi kwa viongozi, ambapo viongozi wa zamani waliamua kujiuzulu na kupisha kufanyika kwa uchaguzi wa viongozi wapya.

Katika uchaguzi huo Mwanzo Millinga aliibuka kuwa mshindi wa nafasi ya Mwenyekiti, John Badi Mwenyekiti Msaidizi, Katibu Mkuu ni Mroki Mroki akisaidiwa na James Mpangala nafasi ya Mwekahazina ilienda kwa Leah Samike ambapo atasaidiwa na Mwanakombo Jumaa.

Wajumbe wa Kamati ya utendaji ni Khalfan Said, Moshi Kiyungi, Mpoki Bukuku na Ramadhani Tonge.

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...