June 18, 2008

Bajeti Zenji

Waziri wa Fedha wa Zanzibar Mwinyihaji Makame na koba la bajeti mwaka 2008/09
Posted by Picasa

Karibu Bongo Kelly Rowland

Bila shaka utakuwa bado unalikumbuka kundi maarufu la muziki lililokuwa linajulikana kama Destiny’s Child kutoka nchini Marekani. Miongoni mwa mabinti waliokuwa wanaunda kundi hilo ni Kelly Rowland(pichani).Wenzake walikuwa ni Beyonce Knowles(mke wa Jay Z hivi sasa) na Michelle Williams. Kundi hilo lilivunjika rasmi mwaka 2005 ingawa mara moja moja bado huwa inatokea wakafanya maonyesho pamoja. Baada ya kuvunjika kwa kundi lao na kila mmoja kuendelea kivyake na shughuli za kimuziki,uigizaji nk, Kelly Rowland amekuwa akijitolea sana kwa huduma za kijamii.Hali hiyo ndio imemfanya achaguliwe hivi karibuni kuwa Balozi wa Taasisi ya MTV Staying Alive ambayo imejikita katika kupigana vita na maradhi ya ukimwi pamoja na matokeo yake kama vile kuwanyanyapaa walioathirika nk. Ni katika wadhifa huo wa “ubalozi” ambapo Kelly Rowland anatarajiwa kutua nchini Tanzania hivi leo ikiwa ni katika ziara yake katika nchi kadhaa za Afrika ikiwa na nia ya kueneza ujumbe na kuendeleza kazi za taasisi hiyo. Kwa mujibu wa Meneja Uhusiano wa Kampuni ya MultiChoice Tanzania ambao ndio wenyeji wake,Kelly Rowland anatarajia kutembelea vituo kadhaa vinavyojishughulisha na mapambano dhidi ya ukimwi na pia kuzungumza na waandishi wa habari kuhusiana na ziara yake. Akimaliza ziara yake nchini Tanzania,Kelly Rowland anatarajiwa kuelekea Kenya na kisha Ghana,Msumbiji na Angola. Halafu bonyeza hapa uone jinsi mwanamuziki huyu na nduguze walivyopewa heka heka na nyani katika mojawapo ya nchi za kiafrika anazozitembelea. By BC.
Posted by Picasa

Kwa Mabachela TUUUUU!!!

Kwa wanaume mliomabachela au mnasaka wenza msipate tabu Japan wametengeneza videmu maalumu vya kuwaliwaza. TOKYO (Reuters) - She is big-busted, petite, very friendly, and she runs on batteries. A Japanese firm has produced a 38 cm (15 inch) tall robotic girlfriend that kisses on command, to go on sale in September for around $175, with a target market of lonely adult men.
Posted by Picasa

Mafuta yapanda!!

PAMOJA NA KUPANDA KWA KIWANGO CHA UZALISHAJI MAFUTA DUNIANI BADO BEI YAENDELEA KUOGEZEKA, LAKINI ZAIDI NI KUWA TAIFA KUBWA PEKE YAKE LATUMIA ZAID YA ASILIMIA 30 YA MAFUTA YOTE UKU LIKIZALISHA ASILIMIA NDOGO YA KILE YANACHOTUMIA. World crude oil production has topped out at 85 million barrels per day even as demand keeps climbing, helping to drive a stunning surge in prices, billionaire oil investor T. Boone Pickens said on Tuesday. "I do believe you have peaked out at 85 million barrels a day globally," Pickens, who heads BP Capital hedge fund with more than $4 billion under management, said during testimony to the Senate Energy and Natural Resources Committee. The United States alone has been using "21 million barrels of the 85 million and producing about 7 of the 21, so if I could take just a minute on this point, the demand is about 86.4 million barrels a day, and when the demand is greater than the supply, the price has to go up until it kills demand," Pickens told lawmakers. U.S. crude futures have risen by a third since the start of the year and more than six-fold since 2002 as surging demand from China and other developing nations outpaces new production.
Posted by Picasa

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...