February 15, 2013

Kagera - Why are you not RICH????????

Uwanja wa ndege wa Bukoba unafanyiwa matengenezo na kuongezewa uwezo. 

Moja ya mabonde katika Mkoa wa Kagera, ni kijana mwaka mzima.

Mahindi haya yanalimwa pasipo kuweka mbolea kienyeji lakini bado waweza kupata makubwa hivi na zaidi. 

Mkoa unapata mvua mara tatu kwa mwaka. 

Ziwa Victoria linafaa kwa Uvuvi na utalii pia. 

Kagera – Ni kwanini wewe si Tajiri????Ndio, ni kwanini Mkoa huu au watu wake si matajiri? Huu ni moja ya mikoa iliyobarikiwa sana na Mungu katika Tanzania, lakini bado haujaweza kuutumia vyemam utajiri wake.

Ni moja ya mikoa ambayo inapata mvua angalau mara tatu kwa mwaka, una mabonde na mito mingi ambayo inafaa kwa kilimo cha aina yoyote, waweza kulima pasipo kuweka mbolea na kupata mavuno ya kutosha, mazao mengi sana ya chakula na biashara yanastawi kwa wingi sana.

Kama haitoshi, sehemu kubwa ya ziwa Victoria inapatikana Kagera, Mbuga za wanyama, vivutio mbalimbali vya watalii, misitu ya asili, Bandari kubwa ya ziwani, umepakana na nchi tatu, una wkazi wapatao Milioni 2 na ushee. nk.
Yako mambo mengi sana ambayo unaweza kuorozesha hapa, ambayo yote ni Baraka kwa mkoa huu kuwa tajiriSwali ni KWANINI KAGERA SI TAJIRI?


KAGERA REGION – UNIQUE FEATURES
Kagera region is identified in the minds of most Tanzanians as banana and plantain country; the land of coffee and equally the land of plenty. It is also identified as one of the regions which were favoured by early contacts with European missionaries along with Kilimanjaro and Mbeya regions. Consequently, Kagera has had an early start ahead of most Mainland regions in terms of education. In 1967 it has an average adult literacy rate of 40% with only Dar es Salaam, Kilimanjaro and Ruvuma doing better. During the 1978 Census, Tanga, Morogoro, Mara and Iringa had caught up and surpassed Kagera whose ranking deteriorated from number 4 to number 8 which position it also held in 1988.

Geographically, Kagera had the record of being the remotest region from the administrative centre of Dar es Salaam along with Kigoma. It has maintained this unfortunate position even after the move of the country’s capital to Dodoma. 

The regional headquarters of Bukoba for Kagera is 616 kms from Dodoma as the crow flies. Kigoma, the regional capital for Kigoma is 683 kms away. But unlike Kigoma, Kagera’s isolation in further compounded by poor roads into the region and by being sandwiched between the neighbouring countries of Uganda, Rwanda, Burundi in the north, west and by the Lake Victoria waters on the east. The region’s only land route to the rest of the Mainland is to the south. No other region in the country is bordered by so many foreign countries. 

The region’s geographical isolation and the close proximity to the three foreign countries has made Kagera very vulnerable to foreign influences and problems. The influx of refugees from Rwanda and Burundi in the past two decades is a case in point. No other region has suffered from refugee damage as has Kagera. 

The damage by deforestation as some 600,000 refugees sought to make camp and to meet their demands for fuelwood has been colossal. Game reserves were heavily poached, morals polluted and drug resistant STDs were introduced. As if this was not enough, roads were damaged through overuse, health and water facilities were overloaded. Source. Tanzania.go.tz

February 8, 2013

R.I.P Bishop Thomas Laiser, R.I.P Amadeus Msarikie

Bishop Thomas Laiser
Askofu Thomas Laizer wa kanisa la Kiinjili la Kilutheri nchini dayosisi ya kaskazini kati, amefariki dunia katika hospitali ya rufaa ya Seliani iliyopo jijini Arusha ambako alikuwa amelazwa kwa siku kadhaa akipata matibabu. Taarifa zaidi juu ya kifo chake tutakupatia pindi zitakapo tufikia katika dawati letu la GK.

Wakati huohuo aliyekuwa askofu wa jimbo la moshi kanisa katoliki Amedeus Msarikie amefariki dunia jana alfajiri mkoani Kilimanjaro. Askofu Msarikie alistaafu baada ya kutumika kwa muda mrefu na kuleta maendeleo mbalimbali katika jimbo la Moshi ikiwemo ujenzi wa shule pamoja na masuala ya kiroho. 

Habari kwa mujibu wa Gospel Kitaa

National ID - At last!

Hatimaye baada ya muda mrefu na danadana za hapa na pale Watanzania nao sasa kuwa na vitambulisho vya taifa lao, hii ni baada ya Rais Jakaya M Kikwete kuzindua rasmi vitambulisho hivyo hapo jana jijini Dar. Mradi huu unasimamiwa na mamlaka ya vitambulisho vya taifa (NIDA). Picha na Ikulu. 

Mv Victoria Chupu chupu kuteketea kwa moto



Meli ya Mv Victoria inayomilikiwa na Kampuni ya huduma za Meli nchini(MSC)imenusurika kuteketea kwa moto uliozuka wakati mafundi wa kampuni hiyo wakichomelea sehemu mojawapo ya Meli hiyo.

Moto huo uliozuka katika meli hiyo ulizua tafrani kwa wakazi wa jiji la Mwanza na kufurika katika eneo la maegesho ya Meli za Kampuni ya MSC yaliyopo katika bandari ya Mwanza kaskazini majira ya saa 8 na dakika kadhaa na kusababisha msongamano mkubwa katika eneo hilo.

Kwa mujibu wa taarifa zlizo patikana toka kwa wafanyakazi wa Meli hiyo zimeleeza kuwa mafundi wa kampuni walikuwa wakichomelea katika moja ya vyumba vya chini vya Meli hiyo ndipo cheche za moto ulipoangukia katika sehemu ya kuhifadhia mizigo na kuanza kuwaka.

Hata hivyo moto huo ulithibitiwa na meli kuweza kuendelea na  safari zake kuelekea Bukoba kama kawaida. 

February 6, 2013

Bukoba - Karata 3

Nshomile wanaingizwa Mujini, Karata tatu au keusi kekundu. 

Bukoba - Taswira mbalimbali

Nshomile!!

Bukoba Beach

Bukoba Cathedral

Bodaboda, maarufu Asecdo

Stand.

Bukoba Land mark

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...