March 31, 2009
Bongo kupeleka kikosi Darfur mwezi ujao..
Msuluhishi wa Darfur Dkt Salim Ahmed Salim akiagana na mkuu wa kikosi cha JWTZ kitakachoelekea Darfur mwezi ujao Luteni Kanali Ally Katimbe leo katika kambi ya Jeshi hilo iliyoko Msata ,Pwani baada ya kutoa mhadhara kwa kikosi hicho kuhusu hali ya jimbo la Darfur.
MSULUHISHI wa Umoja wa Afrika (AU) katika mgogoro wa Darfur , Sudan, Dk. Salim Ahmed Salim leo amezuru kambi ya kikosi maalum cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania wapatao 875, kinachojiandaa kwenda kulinda amani katika jimbo la Darfur nchini Sudan,
Askari hao na maofisa waowanatarajiwa kuondoka nchini mwezi huu kuelekea Sudan kulinda amani chini ya Umoja wa Mataifa.
Kuna watu wanaandika lakini huyu mhhh si mchezo..
How dare you Idris Rashid???
"THE mistake a lot of politicians make is forgetting they’ve been appointed and thinking they’ve been anointed," remarked US Senator Claude Pepper (1900-1989) Democrat.
Pepper reached this conclusion after finding that many people with appointive positions erroneously turned them into personal estate.
I heard Dr. Idris Rashidi, TANESCO Managing Director, saying: "If we refuse to buy hand-me-down Dowans' generators, our country would sink ................more here
Subscribe to:
Posts (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Prof Aloysius Mwessa Hnonoli ni Mbongo wa kwanza kuwa Mkurugenzi wa Muhimbili na Mkuu wa Chuo kikuu cha Tiba. Mstaafu huyu jana alitu...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...
-
Mineral occurrence in Tanzania by TMAA UONGEZAJI WA PATO LA MTANZANIA Mheshimiwa Spika, 46. Lengo la Dir...
-
Kina dada wengi hivi sasa imekuwa ni kawaida kwenye kila shughuri hasa za usiku kukuta wamevaa nguo fupi, wengi wanasema ni fashion...
-
Ukumbi huko nyuma ya Minara miwili ukiwa ni wa mviringo. Eneoe kubwa la chai na ukaguzi pamoja na usajili kwa waalikwa. Sehemu za waa...