March 31, 2009

Meli yakwama Dar

Meli kubwa ya makasha MSC Federica imekwama karibu na ufukwe wa Kigamboni ilipokuwa ikitoka bandari salama leo yapata saa kumi na dk 45 kwa kile inachodhaniwa kuwa ni kupoteza mwelekeo, juhudi za kuikwamua zinaendelea.

Bongo kupeleka kikosi Darfur mwezi ujao..

Msuluhishi wa Darfur Dkt Salim Ahmed Salim akiagana na mkuu wa kikosi cha JWTZ kitakachoelekea Darfur mwezi ujao Luteni Kanali Ally Katimbe leo katika kambi ya Jeshi hilo iliyoko Msata ,Pwani baada ya kutoa mhadhara kwa kikosi hicho kuhusu hali ya jimbo la Darfur.
MSULUHISHI wa Umoja wa Afrika (AU) katika mgogoro wa Darfur , Sudan, Dk. Salim Ahmed Salim leo amezuru kambi ya kikosi maalum cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania wapatao 875, kinachojiandaa kwenda kulinda amani katika jimbo la Darfur nchini Sudan,
Askari hao na maofisa waowanatarajiwa kuondoka nchini mwezi huu kuelekea Sudan kulinda amani chini ya Umoja wa Mataifa.

Kuna watu wanaandika lakini huyu mhhh si mchezo..

How dare you Idris Rashid???
"THE mistake a lot of politicians make is forgetting they’ve been appointed and thinking they’ve been anointed," remarked US Senator Claude Pepper (1900-1989) Democrat.
Pepper reached this conclusion after finding that many people with appointive positions erroneously turned them into personal estate.
I heard Dr. Idris Rashidi, TANESCO Managing Director, saying: "If we refuse to buy hand-me-down Dowans' generators, our country would sink ................more here

WANAMEREMATAAA WANA.......................

Hongera sana kwa kutimiza miaka 2o ya ndoa Mh Rais JK na Mama Salma.

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...