January 22, 2009

Air Tanzania kurudi hewani kesho!!

Shirika la ndege la Tanzania litaanza rasmi tena kurusha ndege zake kwa safari za ndani tu kwanza.

Ubishi mwingine!!! ati OBAMA hakusoma speech yake!!!!!!

Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile hotuba aliyotoa mara baada ya kuapishwa ati hakuwa akisoma popote ila ilikuwa yatoka kichwani tu!!!

Nilishangaa sana kusikia vile, lakini nikaona si vyema nikanyamaza nikaona nililete kwenu wadau, je kuna anayehamini kuwa BO alikuwa hasomi ile speech?

Nawaombeni nitumieni maoni yenu tafadhali ili tusaidie wale wasiojua ili angalau wapate mwanga.

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...