October 7, 2008

Happy birthday 2 u............

JK akikata keki ya birth day. Rais JK akimlisha keki mtoto Mohamed wakati wa hafla fupi ya kusherekea miaka 58 ya kuzaliwa kwake iliyoandaliwa na wafanyakazi wa ikulu ya Dar es Salaam leo.Mtoto Mohamed ni yatima ambaye Rais Kikwete na Mkewe Mama Salma wanamlea katika familia yao.
Katibu mkuu ikulu Bwana Michael Mwanda akimpa kadi ya Birthday Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwa niaba ya ya wafanayakazi wa ikulu wakati wa hafla fupi ya kumpongeza Rais Kikwete kwa kutimiza miaka 58 leo.

Mtoto wa Mkulima ziarani Namibia

"Mtoto wa Mkulima" akikaribishwa na mwenyeji wake, Waziri Mkuu wa Nambia, Nahas Angula na vikundi mbalimbali vya ngoma mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Hosea Kotako nchini Namibia kwa ziara ya kikazi

Mama Salma yuko MAKETE

Mama Salma kikwete akisalimiana na watoto mapacha walioungana miili yao,maria na consolata,11,walio darasa la 5. watoto hao wanatunzwa katika hospitali ya ikonda huko makete

WANAMEREMETAAA WANA........

Mzee Mwinyi aka Ruksa akiwa na My wife wake ktk dhifa ya kitaifa jana.

Mzee Ruksa

"Huyu ndo Mzee Ruksa uliyekuwa ukisikia habari zake Mh." JK akimtambulisha Mzee Mwinyi ktk Dhifa ya kitaifa ikulu.

USHIRIKIANO

Tanzania na Madagaska jana zilitiliana saini ushirikiano ktk nyanja mbali mbali hafla iliyoudhuriwa na Marais JK na Marc Ravalomanana Ikulu, Waziri Membe na mwenzake wa MDGS Marcel walianguka saini hizo.

THE UTAMU BLOG "MARIGIO" BYE BYE

Habari zilizotufikia ainasema kwamba Ile blog iliyokuwa inawanyima watu wengi raha iitwayo theutamu IMEFUNGIWA RASMI na bado anafuatiliwa kwa karibu na mpaka sasa imeshajulikana mwanzilishi yuko Tanzania na anashirikiana na wawili mmoja akiwa UK na mwingine US. Kibaya zaidi ni kuwa wote waliotuma barua pepe kwenda kwenye email ya utamu wako recorded na wanafuatiliwa kwa ukaribu kabisa. Watanzania wametahadharishwa waache kutumia blogs kuchafuana bila ushahidi wowote,Epuka kutuma barua pepe huko ukidhani hutojulikana...! uknet.

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...