“In the beginning was the Word, and the Word was with God, and the Word was God. He was with God in the beginning. The Word became flesh and made his dwelling among us. We have seen his glory, the glory of the one and only Son, who came from the Father, full of grace and truth.” - John 1:1-2, 14
December 1, 2010
The Word became Flesh"
UMASIKINI au UTAJIRI ni maamuzi binafsi?
Ukiangalia mchoro huu wa Msanii Maembe kwa haraka uwezi kuona picha iliyopo hapo, lakini ukitulia ukaangalia tena na tena utaona picha fulani hapo ambayo waweza itafsiri upendavyo na mara utakapoziona picha hazitaondoka akilini, kila uangaliapo mchoro huo zitakujia haraka sana.
Hivyo ndivyo ilivyo kwa fursa nyingi na hasa katika ulimwengu huu wa ICT tuishimo, si rahisi mtu kuona fursa mahali fulani hata kama utamlazimisha vipi, ni mpaka pale atakapoamua mwenyewe kuangalia tena na tena ndipo ataiona.
Biblia yasema- "Mauti na Uzima huwa ndani ya uweza wa ulimi,"
Je si ni sahihi pia kusema UMASIKINI na UTAJIRI huu ndani ya uweza wa ULIMI?
Je si ni kweli kufa masikini ni uamuzi wa mtu?
Waweza jitamkia UZIMA na UTAJIRI ungana na walio AMUA kuukataa umasikini HAPA
Subscribe to:
Posts (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Prof Aloysius Mwessa Hnonoli ni Mbongo wa kwanza kuwa Mkurugenzi wa Muhimbili na Mkuu wa Chuo kikuu cha Tiba. Mstaafu huyu jana alitu...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...
-
Mineral occurrence in Tanzania by TMAA UONGEZAJI WA PATO LA MTANZANIA Mheshimiwa Spika, 46. Lengo la Dir...
-
Kina dada wengi hivi sasa imekuwa ni kawaida kwenye kila shughuri hasa za usiku kukuta wamevaa nguo fupi, wengi wanasema ni fashion...
-
Ukumbi huko nyuma ya Minara miwili ukiwa ni wa mviringo. Eneoe kubwa la chai na ukaguzi pamoja na usajili kwa waalikwa. Sehemu za waa...