August 27, 2011

Gaddafi 'seen in Zimbabwe on Mugabe's private jet'


Colonel Muammar Gaddafi has fled Libya to Zimbabwe on a jet provided by Zimbabwe President Robert Mugabe, it was claimed today, as rebels began the march on his home town.
President Mugabe's political opponents claim their spies saw Gaddafi arrive in the country on a Zimbabwe Air Force jet in the early hours of Wednesday morning.
They say the Libyan dictator was taken to a mansion in Harare's Gunninghill suburb, where agents from his all-female bodyguard were apparently seen patrolling the grounds.
 
There's no doubt that Gaddafi is here as a 'unique guest' of Mugabe,' a spokesman for Zimbabwe's opposition Movement for Democratic Change told the Sun.
If he has left Libya, Gaddafi could have fled from an airbase in his home town of Sirte, which has been bombarded by Nato warplanes in recent days.
 
A poster of Gaddafi offering a reward of $1,700,000 USD dollars (1,174,921 euros) for his capture dead or alive
The colonel's bunker in the coastal town was blitzed by cruise missiles fired by British Tornado jets on a long-range sortie last night.


Cheka na singo ya Raila

Sio siri hawa jamaa ni wabunifu wa kutengeneza vibonzo, cheka upunguze stress na kuongeza siku pia.

Pato la Mtanzania, nini maoni yako??

Mineral occurrence in Tanzania by TMAA



UONGEZAJI WA PATO LA MTANZANIA
Mheshimiwa Spika,
46.         Lengo la Dira ya Taifa ya Maendeleo ni kuiwezesha Tanzania kuwa na Uchumi wa Kipato cha Kati (Middle Income Country) ifikapo mwaka 2025. Kwa mujibu wa Takwimu za Taasisi ya Taifa ya Takwimu (National Bureau of Statistics) za mwaka 2010; wastani wa Kipato cha Mtanzania kimefikia Dola za Kimarekani 545, sawa na Shilingi 770,464. Hivyo, katika kipindi cha utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka 15 tunayo changamoto kubwa ya kuongeza kwa kasi kubwa Kipato cha Mtanzania ili kufikia lengo lililokusudiwa la kufikia Dola za Kimarekani 3,000 ambazo ni sawa na Shilingi Milioni 4.8 kwa mwaka au Shilingi 400,000/= kwa mwezi ifikapo mwaka 2025 na hivyo kuifanya Tanzania kuwa Nchi ya Uchumi wa Kati.

Mheshimiwa Spika,
47.         Napenda kutumia fursa hii kueleza kidogo kuhusu mwenendo wa takwimu za Mikoa kuhusu kiashiria hiki cha Wastani wa Kipato cha Mwananchi (Regional Per-Capita Income). Mtiririko wa nafasi za Mikoa kwa mwaka 2010 za Wastani wa Kipato cha Mwananchi kwa mwaka ni kama ifuatavyo:

              i.      Dar es Salaam   -           Shilingi 1,740,947
            ii.      Iringa                 -           Shilingi  979,882
           iii.        Arusha               -           Shilingi  945,437
           iv.       Mbeya                -           Shilingi  892,877
            v.       Kilimanjaro        -           Shilingi  879,432
           vi.        Ruvuma              -           Shilingi  866,191
          vii.       Mwanza              -           Shilingi  829,647
        viii.       Manyara              -           Shilingi  772,364
           ix.      Tanga                  -           Shilingi  763,203
            x.      Morogoro            -           Shilingi  744,234
           xi.      Rukwa                -           Shilingi  726,658
          xii.     Mtwara               -           Shilingi  700,436
        xiii.      Lindi                    -           Shilingi  673,096
        xiv.      Mara                   -           Shilingi  642,528
          xv.     Pwani                  -           Shilingi  572,466    
        xvi.     Tabora                -           Shilingi  528,832
       xvii.     Shinyanga        -           Shilingi  510,023
      xviii.     Kigoma              -           Shilingi  499,428
        xix.     Kagera               -           Shilingi  491,713
          xx.     Dodoma             -           Shilingi  485,211
        xxi.      Singida              -           Shilingi  483,922

Mheshimiwa Spika,
48.          Takwimu hizo zinaonesha kuwa Theluthi Moja tu ya Mikoa yote ya Tanzania ndiyo yenye Wastani wa Pato la Mtu ambalo ni juu ya Wastani wa Pato la Mwananchi Kitaifa la mwaka 2010 la Shilingi 770,464. Vilevile, Takwimu hizo zinaonesha kuwa Mikoa Mitano ya mwisho kwa mlinganisho wa Wastani wa Kipato cha Mwananchi ni Shinyanga, Kigoma, Kagera, Dodoma na Singida. Hata hivyo, hali halisi inaonesha kuwa Mikoa hii ina fursa nyingi za kuongeza Mapato kutokana na shughuli mbalimbali za uchumi, na fursa za kibiashara zilizoko lakini Takwimu za Mapato ya Mikoa hii haziwiani na hali halisi za maisha ya Wananchi wa Mikoa husika kwa fursa walizonazo. Mikoa niliyoitaja ndiyo inaongoza kwa eneo kubwa la Ardhi nzuri na idadi kubwa ya Mifugo Nchini ambayo pia ina fursa kubwa ya kuwaongezea Mapato. Pia Mikoa hii ina idadi kubwa ya Wananchi wanaojishughulisha na Kilimo cha Mazao yenye tija kubwa kama vile Pamba, Karanga, Alizeti na Ufuta. Aidha, biashara imeshamiri sana kwenye Mikoa hii, hivyo hakuna sababu ya Mikoa hii kuwa nyuma katika kipato cha Mwananchi. Vilevile, Mikoa mingine yote inayo fursa tele za kuwaongezea Wananchi wake Kipato na kupunguza Umaskini.


From: PM Mizengo Pinda speech of August 26, 2011


Takwimu hizi zaonesha ama kuashiria nini? kama hali ndo hii kwanini watu woote wasikimbilie Dar? maana ndo kwenye unafuu ati! wewe wasemaje? toa maoni yako tafadhari.  

walipa kodi wakubwa Tanzania




Mheshimiwa Spika,
44.         Nitumie nafasi hii kuwapongeza baadhi ya Walipakodi Wakubwa kwa Serikali na ambao wamefanya vizuri kati ya kipindi cha mwaka 2005 na 2011. Kwa kipindi hicho, Makampuni yaliyoongoza kwa kulipa kodi ni pamoja na:

i.              Tanzania Breweries Ltd. (Shilingi Bilioni 165.4);
ii.            National Microfinance Bank (Shilingi Bilioni 108.6);
iii.           Tanzania Cigarette Company (Shilingi Bilioni 92.1);
iv.            National Bank of Commerce (Shilingi Bilioni 89.9);
v.            CRDB Bank Ltd. (Shilingi Bilioni 79.2);
vi.           Tanzania Ports Authority (Shilingi Bilioni 76.8);
vii.          Tanzania Portland Cement (Shilingi Bilioni 73.4);
viii.        Airtel (T) Ltd. (Shilingi Bilioni 63.6);
ix.           Tanga Cement Company Ltd. (Shilingi Bilioni 43.6);
x.            Standard Chartered Bank Ltd. (Shilingi Bilioni 40.0);
xi.           Citibank (T) Ltd. (Shilingi Bilioni 35.7);
xii.          Resolute (T) Ltd. (Shilingi Bilioni 32.1);
xiii.        Tanzania International Container Terminal Services (Shilingi Bilioni 25.9);
xiv.         Tanzania Distillers Ltd. (Shilingi Bilioni 13.4); na
xv.          Group Five International (PTY) Ltd. (Shilingi Bilioni 9.5).

From: Hotuba ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda, Dodoma August 26, 2011

Just thinking aloud, 
Kuwa mlipa kodi mkubwa na kushika namba moja ina maana umeingiza mapato mengi pia kwenye biashara uifanyayo na hivyo kulipa kodi stahiki na hatimaye wajikuta umekuwa namba moja, sio, nawaza kwa sauti tu, je inamaanisha nini kwa TBL kuwa kinara?, ni kwamba wameuza sana au niaje? 



Mtu alitarajia yale makampuni yanayojihusisha na vyakula, vinywaji baridi au simu yashike namba kwa naamini yana wateja wengi kuliko tbl, na je yale yanayochimba madini tena mengine yana migodi zaidi ya miwili kanda ya ziwa huko nayo imekuwaje? just thinking aloud!

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...