March 30, 2009

Saba wathibitika kufa ajali ya treni Dom.

MAITI za watu waliokufa katika ajali ya treni iliyotokea katika kitongoji cha Pandambili, katikakati ya stesheni ya Gulwe na Igandu hazijatambuliwa hadi kufikia hii leo.
Kulingana na Mkuu wa mkoa wa Dodoma , William Lukuvi jumla ya watu saba ndio waliofariki katika ajali hiyo na wengine saba kujeruhiwa.
Lukuvi alisema kuwa miili ya marehemu hao imehifadhiwa katika chumba cha kuhifadhi maiti katika hospitali kuu ya mkoa wa Dodoma ambapo maiti hizo zimeshindwa kutambuliwa kutokana na majina yaliyoandikwa katika tiketi zao kutokamilika..

RIP Hamidu Bisanga

Mazishi ya Marehemu Hamidu Bisanga (59) mwandishi wa habari wa siku nyingi aliyefariki dunia jana kwa ajali ya gari katika eneo la Kijitonyama karibu na Millenium Tower yanatarajiwa kufanyika kesho ktk makaburi ya Kisutu. Katika Uhai wake, Bisanga alifanya kazi kama Mhakiki wa lugha katika kiwanda cha Printpak mwaka 1973 hadi 1975 na baadaye katika Magazeti la Serikali ya SundayNews na DailyNews kuanzia mwaka 1975 hadi 1990 akiwa mwandishi wa habari na baadaye mwaka 1990 hadi 1994 alifanya kazi katika magazeti hayo akiwa Msanifu Mkuu.

Mwaka 1994 hadi 1998 aliajiliwa na Shirika la Maendeleo ya Petroli (TPDC) kama Afisa uhusiano na mwaka 1998 aliajiliwa na Shirika la Maendeleo (NDC) akiwa Meneja uhusiano hadi August mwaka jana alipohamia katika Kampuni ya BayPort kuwa Meneja Uhusiano na Masoko.

Pia Marehemu Bisanga aliishawahi gazeti la African, Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC),Sauti ya America na wakala wa Habari wa Ufaransa.

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...