January 29, 2008

Yaja Karibuni......
Marehemu Tumaini Mbaga Yaaminika kuwa mwili uliokotwa uko Kwembe ukiwa umearibika vibaya kuwa ni wa aliyekuwa Dereva wa Naibu Waziri Usalama wa Raia aliyetoweka yapata wiki mbili sasa Bw Tumaini Mbaga, pamoja na kuwa inasubiriwa taarifa ya mkemia mkuu, Mke wa dereva huyo ametambua baadhi ya vitu kama suruali, soksi na kitambaa kuwa ni vya mumewe,
Mpaka sasa hakuna aliyekamatwa kuhusishwa na utekaji au mauaji ya dereva huyo, na bado ni kitendawili kikubwa juu ya lengo hasa la wauaji wake hasa ikizingatiwa kuwa gari lilipatika likiwa limetelekezwa CCM Tabata siku moja tu baada ya kuchukuliwa CCM Temboni.
Rwakatare..... Atimaye Mtumishi wa Mungu atinga Bungeni. Kaupishwa kwa Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Mikocheni B Assemblies of God Dr Getrude Rwakatare Bungeni leo.
Mapenzi Mapenzi yanadawa? naomba jibu jamani...

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...