April 8, 2009

DECI (Desimali?) KENYA, KONDOO WALIINGIZWA MKENGE??

Clergy admits to misleading flock over schemes.

Katibu wa Baraza la Maaskofu wa Pentecoste, Askofu David Mwasota kulia, Katibu wa Kamati ya maandalizi (DECI), Mchungaji Bernard Kun'gunde (kati) pamoja na Mwenyekiti wa Kamati, Askofu Batholomew Sheggah wakisaini baadhi ya taarifa walizozitoa katika Mkutano wa hadhara uliofanyika Viwanja vya Maonyesho vya Mwalimu Nyerere, Dar es Salaam leo hii.

Some religious leaders have admitted misleading their flock into joining pyramid schemes.

Members of the clergy yesterday told a taskforce into the operation of pyramid schemes that con artists, masquerading as religious organisations, took advantage of the Church’s influence.
SOMA MWENYEWE HAPA
JE WATUMISHI HAWA AU WACHUNGA KONDOO WETU WAYAJUA YA LIYOIPATA DECI HUKO KENYA?

DECI

Hii ni DECI au Desimali? Je nnani mkweli ktk hili kati ya BOT, Soko la Mitaji CMSA, VIONGOZI wa DECI na wanaodai ni WANUFAIKA? Lakini zaidi ni nani antuongopea (anawaongopea) au hatwambii ukweli hapa?

Bongo Raha!

Hii ndo (ka) RAHA ya jiji tukufu la Disim mara inyeshapo ata kama ni kiduchu.

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...