February 2, 2008

K lyn

Kama kuna warembo ambao hawachuji ktk dunia ya urembo basi ni huyu dada Jacquiline au apendavyo K-lyinn, ni miaka yapata nane toka atwae umiss bongo lakini bado bomba kinoma, na azidi kuwika ktk muziki wa bongo na sasa anaweb site yake http://www.klyinn.com/ tembelea upate vituzi vyake zaidi. Bravo

Bush ziara

Ziara ya Rais Bush pamoja na usumbufu utakaotokana nayo italeta pia neema kwa baadhi ya sehemu na watu, mfano toka kupata Uhuru kuna sehemu bongo japo ni nyeti na zipo katikati ya jiji hakukuwa na taa kama hii ya Sea view au Mtaa maarufu wa Azikiwe yote hii itawekewa taa za barabarani, pia Nyerere road yawekewa rami upyaaaaa. Kali ni kuwa Hoteli zote kubwa zimechukuliwa na kulipiwa kabisa pamoja na minong'ono kuwa kuna vyumba vyafanyiwa maerekebisho ili viendane au vifae kukaa mbwa maalumu wa Bush.

Richard BBA 2

Big Brother Africa II Richard sasa awa SOS Children's Village Good Will Ambassador ama Balozi wa matumain wa Kituo cha yatima. pia amezindua mtandao wake waweza kubofya hapa www.richardbba2winner.com

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...