May 13, 2009

"Kisiwa chao ila Maji ni yetu" MU-7

Museveni: Island is Kenya’s, but water is ours
It is now official: Uganda has conceded the controversial Migingo Island is in Kenya. Speaking in Tanzania, Uganda’s President Yoweri Museveni claimed the waters, but said "the island was in Kenya".
Hayo ndo maneno ya Rais Mu - 7 wa UG kuhusu kisiwa cha Migingo. yacheki hapa
Maneno haya yamezua mtafaruku huko Kenya,
Yaweza kuwa ni maneno madogo tu lakini yamebeba maana gani??
Ikiwa kisiwa ni cha Kenya ila maji ndo ya Uganda, Mu-7 anamaanisha nini hapa?
WADAU NAOMBA MAONI YENU.
Kumradhi. Naomba pia kuwataka radhi wadau wa BP kwa kuto-update blog hii kwa kitambo kidogo sasa, hii ina sababu nyingi lakini iko siku nitawajuza wadau wa BP ni kwanini sikufanza hivyo kwa kitambo kidogo, naomba mniwie radhi kwa usumbufu wowote. Bongo Pix

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...