July 1, 2008
Bank Holiday??????????????????
Sakata la jezi, Eto'o, Kanavalo na TFF
Wadau naomba tuchangie juu la jambo hili, kwanza nna maswali machache tu ambayo yalikuwa yakintatiza toka kuanza kwa sakata hili kabla ya Rais Tenga kulitolea ufafanuzi jana ambao ndo umezidi kuongeza maswali, moja je kulikuwa na haja gani kwa TFF au msemaji wake (maana sijui ka alitumwa na mabosi wake au la) kuliweka wazi hili kwa vyombo vya habari ambavyo kwa dunia ya utandawazi ni sawa kulianika dunia nzima?
2. Je hao wanaoitwa wadhamini ambao twasikia kila siku wanatoa mapesa kibao je wanatoa jezi ngapi kwa Stars ata timu iwe na jezi za kauka nikuvae? na je wangeshindwa kutoa iyo 20,000 ata msemaji huyo kutisha kukata posho ya Haroub aka Kanavalo?
3. Kulinga na maelezo ya Tenga napata maswali ya nani alimtuma Msemaji yule kutoa maelezo yale kwa vyomba vya habari je ni TFF? au yamemtoka tu yeye mweneywe kama ni TFF kweli viongozi hawakuliona hilo kabla au kufikili matokeo yake ata Rais aje kutoa tene ufafanuzi wa nini umuhimu wa jezi za taifa?
Nathani kuna tatizo pahala na TFF inapaswa kujipanga sawa kabla ya kuongea na vyombo vya habari au kumpanga sawa msemaji wake kwa si mara ya kwanza msemaji huyo kuchanganya habari.
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
At least 32 people have been killed in multiple explosions after an accident at a munitions dump in Tanzania's commercial capital, Dar e...
-
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kivukoni-Kinondoni leo imeamua mazishi ya mwili wa Marehemu Paulo Goliama aliyefariki wiki iliyopita yafany...
-
Kina dada wengi hivi sasa imekuwa ni kawaida kwenye kila shughuri hasa za usiku kukuta wamevaa nguo fupi, wengi wanasema ni fashion...
-
Mgonjwa wa saratani akipata huduma Ocean Road Cancer Insititute (ORCI) asubuhi leo hii baada ya kununuliwa kwa vifaa vilivyokuwa vimeibwa y...
-
Dr H Mwakyembe akishushwa toka ktk ndege ya kukodi na kupelekwa moja kwa moja MOI kwa Matibabu zaidi, Dr Mwakyembe alipata ajali ya gari m...