July 1, 2008
Bank Holiday??????????????????
Sakata la jezi, Eto'o, Kanavalo na TFF
Wadau naomba tuchangie juu la jambo hili, kwanza nna maswali machache tu ambayo yalikuwa yakintatiza toka kuanza kwa sakata hili kabla ya Rais Tenga kulitolea ufafanuzi jana ambao ndo umezidi kuongeza maswali, moja je kulikuwa na haja gani kwa TFF au msemaji wake (maana sijui ka alitumwa na mabosi wake au la) kuliweka wazi hili kwa vyombo vya habari ambavyo kwa dunia ya utandawazi ni sawa kulianika dunia nzima?
2. Je hao wanaoitwa wadhamini ambao twasikia kila siku wanatoa mapesa kibao je wanatoa jezi ngapi kwa Stars ata timu iwe na jezi za kauka nikuvae? na je wangeshindwa kutoa iyo 20,000 ata msemaji huyo kutisha kukata posho ya Haroub aka Kanavalo?
3. Kulinga na maelezo ya Tenga napata maswali ya nani alimtuma Msemaji yule kutoa maelezo yale kwa vyomba vya habari je ni TFF? au yamemtoka tu yeye mweneywe kama ni TFF kweli viongozi hawakuliona hilo kabla au kufikili matokeo yake ata Rais aje kutoa tene ufafanuzi wa nini umuhimu wa jezi za taifa?
Nathani kuna tatizo pahala na TFF inapaswa kujipanga sawa kabla ya kuongea na vyombo vya habari au kumpanga sawa msemaji wake kwa si mara ya kwanza msemaji huyo kuchanganya habari.
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Prof Aloysius Mwessa Hnonoli ni Mbongo wa kwanza kuwa Mkurugenzi wa Muhimbili na Mkuu wa Chuo kikuu cha Tiba. Mstaafu huyu jana alitu...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...
-
Mineral occurrence in Tanzania by TMAA UONGEZAJI WA PATO LA MTANZANIA Mheshimiwa Spika, 46. Lengo la Dir...
-
Kina dada wengi hivi sasa imekuwa ni kawaida kwenye kila shughuri hasa za usiku kukuta wamevaa nguo fupi, wengi wanasema ni fashion...
-
Ukumbi huko nyuma ya Minara miwili ukiwa ni wa mviringo. Eneoe kubwa la chai na ukaguzi pamoja na usajili kwa waalikwa. Sehemu za waa...