Mlemavu wa Ngozi (Albino) Festo akiwa na Mganga wa jadi Antony Mwandulami (kulia) mara baadaya kujisalimisha kwa mganga huyo kuomba hifadhi baada ya kutishiwa kuuwawa na watu wanaotafuta viungo vya maalbino,
Imekaaje hii wadau?????
na mdau Francis Godwin