February 27, 2008
ICT
Waziri wa Mawasiliano na ICT Shukuru Kawambwa, Naibu Maua Daftari na Katibu Mkuu Naomi Katunzi pamoja na baadhi ya maafisa wazarani hapo walitembelea ofisi za Celtel ktk ziara ya kufaamiana.
JK AJITOSA KENYA
Rais JK jana alielekea Kenya kujaribu kuokoa mazungumzo ya upatanishi kati ya ODM na Serikali ya Mwai Kibaki ambayo mpatanishi wake Kofi Annan alitangaza kuwa YAMEKWAMA JANA.
Raila Odinga leo hii ametangaza kusitisha maandamano aliyokuwa ameyaita kufuatia ushauri wa Mpatanishi Kofi Annan,
Ndugu zetu wakenya ebu kaeni ktk meza ya mazungumzo jaribuni kaafikiana ili kumaliza mgogoro huu kwani wanaoteseka ni raia wadogo na zaidi kinamama na watoto na si nyie wanasiasa ambao mnauwezo wa kuruka wakati wowote kwenda kokote mtakako,
jaribuni sana kuwafikilia hawa wadogo wanaoteseka legezeni misimamo yenu kwa manufaa ya wakenya wote, misimamo mikali haitasaidia ktk hali tete kama hii.
Thaminini mchango mkubwa wa wapatanishi hawa Kina Annan, Graca Machel, Ben Mkapa ambao hata kama ni wastaafu lakini wanazashghuri muhimu za kufanya ila wameziacha na kukaa nanyi kujaribu kutafuta suruhu ya jambo hili, pia michango ya viongozi mbalimbali akiwemo rais Kikwete ambaye yasemekana alilazimika kumwomba Rais wa Uturuki na ujumbe wake kuahirisha ziara na kwenda moja kwa moja Kenya kujaribu kuokoa jahazi la upatanishi.
VIONGOZI WA ODM NA SERIKALI YA KIBAKI JUKUMU LA AMANI, USTAWI NA MUSTAKABALI WA KENYA LIKO MIKONONI MWENU.
Subscribe to:
Posts (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
It has been a while now that my life had taken on a sense of expectation. It has been almost 3 months since I met Russell Simmons at a char...
-
It’s not important to hold all the good cards in life. It`s important how well you play the cards which you hold. Often, when we lose...
-
LONDON (Dow Jones)--U.K. defense giant BAE Systems PLC (BA.LN) Tuesday was fined GBP500,000 for improper accounting in relation to the award...
-
Gadhafi na Obama With reported pockets of fighting remaining in Tripoli on Wednesday, the whereabouts of Lib...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
The government of Uganda is planning to pay a compensation fee to the government of Tanzania for the help offered Uganda in the 1979 liber...
-
Katuka mila nyingi za kiafrica ama kibantu ni utovu wa nidhamu kumwita mkubwa wako MWONGO ni kitendo cha dharau, nami nisingependa kabisa ku...
-
Edmark International founder, Chief Executive Officer and Chairman. Edmark Tanzania welcomes all entrepreneurs, business people a...