November 18, 2008

WALIMU MZIGONI TENA...

BAADA YA MAHAKAMA KUU KITENGO CHA KAZI KUZUIA TENA MGOMO WALIMU MAMEREJEA TENA DARASANI KUPIGA MZIGO WAKITUMAINI KUWA UENDA WIKI IJAYO WAKAPATA FWEZA ZAO BAADA YA KUWA SERIKALI IMEZITUMA VITUO HUSIKA.

MDUDU KAGODA NNANI???????

Mwenyekiti wa IPP R Mengi amemtaka DPP kupitia kwa Makamu wa Rais Dr Shein abaelezee baBongo huyu kitu au mtu mdudu alochota bilion 40 peke yake toka EPA alias "Kagoda" nnani hasa hata sasa hajafikishwa mahakamani?

KATAA UKATILI DHIDI YA WANAWAKE..............

Kampeni ya kataa ukatili dhidi ya wanawake, watoto na albino kwa njia ya SMS kupitia mtandao wa Voda imezinduliwa na Waziri Mama Sitta. Kampeni hii ina lengo la kukusanya saini za KATAA zipatazo million1 au zaidi ifikapo mwezi desemba na kuwasilishwa kwa katibu mkuu UN.

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...