June 6, 2009

Kadhaa wajeruhiwa ulipuaji mabumo Mbagala leo.

Makumi ya watu wamejaruhiwa wengine kupoteza fahamu wakati wa awamu nyingine ya ulipuaji Mabomu ktk kambi ya Mbagala jijini Leo.

Nani anamajibu kwa Padri Karugendo??

NIMEAMUA kuuliza maswali haya, maana ni lazima atokee mtu wa kuyauliza. Haiwezekani tukasubiri miti na mawe kuuliza maswali haya. Kila Mtanzania aliyesoma, kila Mtanzania anayeguswa na uhai wa taifa letu, ni lazima ayaulize maswali haya.
Nauliza: Tumewaona mawaziri wa serikali ya awamu ya nne wakipiga kampeni kule Busanda. Walifanya hivyo kwa vile wao ni wanachama wa CCM au kwa vile wao ni watumishi wa umma? Kama walikwenda kama wanachama wa CCM, je walikuwa kwenye likizo? Tunaweza kuhakikishiwa bila mashaka yoyote kwamba walikuwa kwenye likizo?
Nauliza: Busanda walijiandikisha wapiga kura zaidi ya 100,000 lakini waliopiga kura ni 55,000 hawa wengine zaidi ya 50,000 wamepotelea wapi? Kwa nini hawakupiga kura? Hii ni idadi kubwa sana. Haiwezaekani kwamba hawakupiga kura kwa sababu ya ugonjwa- vinginevyo tungetangaziwa kwenye radio ugonjwa huo ulioikumba Busanda.

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...