November 7, 2011

CHADEME, Hakuna kutoka uwanjani mpaka Lema aachiwe.



Chadema wamechachamaa tena jioni hii huko Aurusha, habari kutoka huko zinasema wafuasi wa chama hicho wakiongozwa na mwenyekiti wao, Freeman Mbowe wameamua kupiga kambi pale kwenye viwanja vya NMC kwa siku tatu mfululizo mpaka mbunge wao, Godbless Lema apewe dhamana
.
Taarifa za awali zilidai kwamba viongozi wa chama hicho walitoa masaa 24 kwa serikali, Lema awe ameachiwa la sivyo wangetoa kauli.
 Haya yanatokea wakati ambapo Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Arusha imemnyima dhamana Lema asubuhi ya leo na kumpa barua ya kufika mahakamani hapo na wadhamini wake tarehe 14 mwenzi huu.
 Lema yupo rumande mara baada ya kukataa yeye mwenyewe kuchukua dhamana wiki iliyopita alipofikishwa mahakamani haopo akidaiwa kuongoza maandamano haramu.

Habari-Saiboko blog, picha - JF

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...