March 31, 2009
Bongo kupeleka kikosi Darfur mwezi ujao..
Kuna watu wanaandika lakini huyu mhhh si mchezo..
March 30, 2009
Saba wathibitika kufa ajali ya treni Dom.
RIP Hamidu Bisanga
March 28, 2009
Kilwa Road "mukide"
March 27, 2009
JK achekecha Ma DC
- Saba wastaafishwa,
- 15 waingia,
- 54 wahamishwa,
- 2 kiporo
- Ngulume, Mashimba, Maarugu, Dololo, Holela, Madaha nje
RAIS Jakaya Kikwete amefanya mabadiliko ya wakuu wa wilaya kwa kuteua wapya 15, kustaafisha saba na kuwabadilisha vituo 54.
Taarifa iliyotolewa jana na Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), ilionyesha pia kuwa wakuu wa wilaya wawili watapangiwa kazi nyingine na wengine wawili wameondolewa baada ya hivi karibuni kuteuliwa kuongoza Jumuiya za Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Wakuu wapya na wilaya zao kwenye mabano ni Mercy Silla (Arumeru), Norman Sigalla (Hai), Kanali Issa Njiku (Misenyi), Angelina Mabula (Karagwe), Dk. Rehema Nchimbi (Newala), Francis Isaac (Mbulu), Luteni Kanali Benedict Kitenga (Rorya) na Luteni Kanali Cosmas Kayombo (Mbarali).
Wengine ni Christopher Kangoye (Kwimba), Queen Mlozi (Ukerewe), Fatuma Mwassa (Mvomero), Fatma Ally (Nanyumbu), Juma Madaha (Tunduru), Anatory Choya (Kishapu) na Erasto Sima (Korogwe).
Zaidi tembelea hapa
Mwaka wa hasara.............
"Mwaka wa hasara ni hasara"
March 26, 2009
March 25, 2009
"Wajinga ndo waliwao" Lini tutaelimika???
March 24, 2009
Ufuska wa walimu ka ni kweli bye bye....
MSAFIRI KAFIRI
March 23, 2009
Mpiganaji Athumani yuko fiti
Zim sasa mkate wanunulika
March 22, 2009
Kilele cha wiki ya Maji leo
March 21, 2009
Zana Haramu za uvuvi zateketezwa BK
March 20, 2009
Lipumba aunga mkono ununuzi wa Dowans
Hizi ndo zile bike zilizojaa mitaani mwetu au???
Nani anasababisha migogoro ya ardhi??
March 19, 2009
March 17, 2009
WAMA YAPIGWA JEKI.
Watani mmemsikia First Lady???
Miaka thenashara bila malipo kipawa
March 16, 2009
WAWEZA JUAJE KUWA PC YAKO IMEINGILIWA NA VIRUSI??
WAWEZA KISIA NINI KILITOKEA USIKU WA JANA YAKE?
March 14, 2009
RIP Faustine Kabuzi Rwilomba
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Prof Aloysius Mwessa Hnonoli ni Mbongo wa kwanza kuwa Mkurugenzi wa Muhimbili na Mkuu wa Chuo kikuu cha Tiba. Mstaafu huyu jana alitu...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...
-
Mineral occurrence in Tanzania by TMAA UONGEZAJI WA PATO LA MTANZANIA Mheshimiwa Spika, 46. Lengo la Dir...
-
Kina dada wengi hivi sasa imekuwa ni kawaida kwenye kila shughuri hasa za usiku kukuta wamevaa nguo fupi, wengi wanasema ni fashion...
-
Ukumbi huko nyuma ya Minara miwili ukiwa ni wa mviringo. Eneoe kubwa la chai na ukaguzi pamoja na usajili kwa waalikwa. Sehemu za waa...