April 25, 2009
Chakachaka amchezesha gwaride Afande
Balozi wa Mapambano na Ugonjwa wa Malaria Barani Afrika Mwanamuziki toka bondeni Vyonne Chakachaka akimhamaisha askari polisi kucheza muziki wakati alipotumbuiza kwenye maadhiisho ya siku ya malaria duniani yaliyofanyika kitaifa kwenye uwanja wa uhuru mjini Mtwara.
JK "Bungeni" Botswana
Rais JK akiwa na mwenyeji wake rais wa Botswana Luteni Generali Seretse Khama Ian Khama wakiwa chini ya mti ambao hutumika na wazee wa jadi wa botswana kwa ajili ya kupanga na kutoa maamuzi mballimbali katika jamii yao ijulikanayo kama Kgotla (bunge), na msosi maalumu wa nyama ya kuponda ya asili iitwayo Setswa, ambayo hupikwa na kuliwa na wanaume pekee.(aliyekaa kulia kwa rais ni kgosi au chifu tawana moremi na aliyekaa kushoto kwa jenerali khama ni naibu waziri wa botswana mhesh. G. Matlahabaphiri.)
WANAMICHEZO BORA 2008 WATUZWA
Subscribe to:
Posts (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
LONDON (Dow Jones)--U.K. defense giant BAE Systems PLC (BA.LN) Tuesday was fined GBP500,000 for improper accounting in relation to the award...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
It’s not important to hold all the good cards in life. It`s important how well you play the cards which you hold. Often, when we lose...
-
On Tuesday, 7th July we witnessed the peak of the Saba Saba festivities. I never go to the Dar es Salaam International Trade Fair, these day...
-
A very rare opportunity. With Outstanding Entrepreneur, Great Visionary, Motivational Speaker, Founder, Chairman and CEO of Edmark Inte...
-
Huwa nina kawaida au tabia ya kusoma kila kilichombele yangu kilichoandikwa, sijui kama kawaida/tabia hii ni mzuri au la kila mtu aweza sem...
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...