December 5, 2008

Msaada kwa WADAU.

Mrs judith Hangwa looks after her one year son Cosmas Hangwa surviving on oxygen for the past four months now in Dar es Salaam. They hail from Kagera and is one of the fifty patients with heart related ailments referred to India for further treatment remain stranded in the city.
Mtoto huyu amekuwa akiishi kwa oxygen hapo THI akisubiria safari ya kwenda India ambayo mpaka sasa hakuna ajuaye lini itakuwa kwa wizara ya afya imekuwa ikipiga danadana kuwapeleka kwa kisingizio kuwa bajeti ni ndogo, lakini pia kumekuwa na lawama kuwa wanapelekwa ambao ni angalua wazima kidogo na kuachwa waliotaabani kama mtoto huyu.
Kulingana na Dr Masau wa THI hospitali yake ingeweza kumsaidia mtoto huyu lakini uzito wa mtoto ni kikwazo kwa mitamba yao ambao uzito wa chini ni kilo kumi kuweza kumfanyia upasuaji.

Amani Burundi- FNL YAKUBALI KUBADILI JINA.

Mtoto wa Mkulima MP na Makamu wa Rais wa Kenya Kalonzo Musyoka.
Rais Yoweri Museven wa Uganda (wapili kushoto) ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Kutafuta suluhu ya Mgogoro kati ya Serikali ya Burundi inayoongwanzwa na Rais Pierre Nkurunziza (watatu kushoto) na Kikundi cha The Palipehutu National Liberation Front (FNL) kinachoongozwa na Agathon Rwasa, akizungumza katika mkutano wa kutia saini makubaliano ya kumaliza mgogoro huo, mjini Bujumbura Desemba 4, 2008. Kushoto ni Rais wa Zambia, Rupiah Banda na kulia ni Waziri Mkuu Mizengo Pinda aliyemwakilisha Rais Jakaya Kikwete kwenye mkutano huo. Wapili kulia ni Makamu wa Rais wa Kenya, Kalonzo Musokya.
Rais wa Burundi , Pierre Nkurunziza (kushoto) na Kiongozi wa Kikundi cha wapiganaji cha The Palipehutu National Lineration Front (FNL), Agathon Rwasa wakitia saini makubaliano ya kuacha mapigano katika mkutano wa Usuluhishi ulioongozwa na mwenyekiti wa kamati ya kusuluhisha mgogoro huo, Rais Yoweri Museveni wa Uganda, mjini Bujumbura, December 4, 2008.

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...