June 26, 2009

Tapeli huyu anastahili nishani!

Mama huyu aliyejitambulisha kwa majina kibao kama Judith, Rosemary, Mary nk. nadhani anastahili kupewa nishani ya ujasiri wa kitapeli kama ipo.
Mama huyu amekuwa akijitambulisha kama ni Afisa wa polisi wa cheo cha ASP, kikubwa zaidi ni ujasiri wake wa kwenda kujichanganya na polisi halisi na kuwatapeli mapesa kwa namna za udanganyifu tena Sentro Polisi, kafika mpaka kwa Kova mwenyewe kutaka kumtapeli lakini mzee mzima akastikuka.

"Overtime" ya VX la serikali au SHANGINGI

Yaelekea ni katika ile mbuzi ula kwa urefu wa kamba yake au pengine ni katika kujiongezea kipato cha ziada pale dereva wa Shangingi hili mali ya serikali chini ya Wizara ya Viwanda na Biashara kule EPZA Bw Geofrey Ernest Barweta alipoamua kupiga ka-overtime kidogo kwa kutumia mshangingi huo pamoja na wenzie watatu kwenda kupora fweza katika kituo kimoja cha mafuta na kwa bahati mbaya kwao siku hiyo (sidhani kama hii ni mara ya kwanza) gemu likabumbuluka na kutiwa mbaloni

Hongera sana Hasheem Thabeet

Grizzlies select Hasheem Thabeet with No. 2 pick in NBA draft

NBA commissioner David Stern,center, poses with NBA draft prospects Hasheem Thabeet, top, from UConn; Stephen Curry, left, from Davidson; Ricky Rubio, second from right, of Spain; and Blake Griffin, right, of Oklahoma, on Thursday before the first round of the NBA draft.

Ten minutes into the NBA draft, Hasheem Thabeet became the first player in league history drafted from Tanzania.

But the 7-3 center could not have made that historic leap without pivotal stops at Cypress Christian and Connecticut.

“It feels good,” said Thabeet, who was drafted No. 2 overall by the Memphis Grizzlies. “It’s a dream come true. This gives other children from Tanzania hope.”

But Thabeet’s road from Dar es Salaam, Tanzania, to his rise to basketball prominence in the United States hasn’t always been smooth. soma zaidi na hapa pia

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...