October 13, 2008

Mwaloni kama kawa

Biashara katika soko la Samaki la Kirumba AU Soko la Kimataifa Mwaloni zililejea jana baada ya mgomo uliodumu kwa siku tisa wa wafanyabiashara kupinga kupandishwa kwa ushuru maradufu na kampuni iliyokuwa imepewa kandarasi ya kukusanya ushuru sokoni humo ya Upeo Vijana jana. Kampuni hiyo imesitishwa utoaji huduma hiyo na sasa Halmashauri ya Jiji ndio inakusanya kwa muda Yasemekana kulikuwa na vituo vitatu vya kuchukua ushuru ndani ya mkoa na wilaya moja, na kila kituo gunia moja lalipiwa 300 au 500, kulingana na ujazo na gari likiingia kupakia mzigo lalipiwa paking, hawa jamaa wa UPEO VIJANA wakapandisha toka 300 kwenda 600 kila kituo na 500 kwenda 1,500 ndo kasheshe ilipoanzia hapo.

CHADEMA KIDEDEA TARIME

Matokeo ya Uchaguzi mdogo wa jimbo la Tarime yametolewa na CHADEMA kimefanikiwa kunyakua viti vyote vya udiwani wa Tarime Mjini na Ubunge vilivyokuwa vikishikiliwa na Marehemu Chacha Wangwe.

UCHAGUZI TARIME

Msimamizi wa Uchaguzi Trasias Kagenzi alikuwa na kzi ya ziada kutuliza wapiga kura baada ya baadhi ya vituo kuwa na kasoro mbalimbali kama kutofuhuliwa hata baadhi yake kulazimisha kuvuja mlango.
Joseph Marwa mmoja wa walemavu waliojitokeza kutumia haki yao ya kikatiba kuchagua viongozi wao. Wacha twende tukamwite Kamanda Tossi
Uchaguzi kwa sehemu kubwa ulikuwa wa amani sana kinyume cha matarajio ya baadhi ya watu.

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...