September 12, 2010

Miss Tanzania 2010,

Geneviva Mpangala ndiye Vodacom Miss Tanzania 2010, mshindi wa pili ni Groly Mwanga na wa tatu ni Consolata Msofe.
Kwa hisani FullShangweblogspot.

Bongo Pix: Da Chemi, waikumbuka hii?

Bongo Pix: Da Chemi, waikumbuka hii?: "Katika kusherehekea sikukuu ya Idd niliamua kutembelea mji mkongwe wa Ujiji Kigoma nilipata fursa pia ya kufika katika makumbusho ya Dr Liv..."

Bongo Pix: Da Chemi, waikumbuka hii?

Bongo Pix: Da Chemi, waikumbuka hii?: "Katika kusherehekea sikukuu ya Idd niliamua kutembelea mji mkongwe wa Ujiji Kigoma nilipata fursa pia ya kufika katika makumbusho ya Dr Liv..."

Salamu toka Ujiji

Jamaa ana andaa "New World Cinema" ya Ujiji tayari kwa movie katika kusherehekea Sikukuu ya Idd.

Da Chemi, waikumbuka hii?

Katika kusherehekea sikukuu ya Idd niliamua kutembelea mji mkongwe wa Ujiji Kigoma nilipata fursa pia ya kufika katika makumbusho ya Dr Livingston, kuna vitu vingi vya kuona na kujifunza kwa historia, kuna picha nyingi na cutting kibao, hii ya Da Chemi wakti akiwa Daily News ilinivutia, sijui ka bado wakumbuka stori hii, siku ukienda Kigoma Da Chemi fika pale Ujiji pia.

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...