January 6, 2008
MATAPELI HAMNAZO KWELI!!!!!!!!!
MATAPELI KWELI HAMNAZO!!! ETI WANATAKA KUMTAJIRISHA BILL GATES?
Dunia kweli ina mambo kumbe sio sie tu tunaopokea haya majunk emails hata tajiri namba moja Duniani pia atumiwa
Gates' e-mail address has been widely publicized, and he received as many as 4,000,000 e-mails in 2004, most of which were spam. He has said that much of this junk mail "offers to help [him] get out of debt or get rich quick", which "would be funny if it weren't so irritating".
Mwandishi amwagiwa ACID
Mhariri wa Mwanahalisi Saed Kubenea pamoja na mwandishi na mwanaharakati wa siku nyingi Ndimara Tegambwage jana walivamiwa na watu wasiojulikana ofisini kwao Kinondoni na kukatwa mapanga pamoja na bwana Kubenea kumwagiwa tindikali au acid machoni,
Kubenea amekuwa akipokea sms za vitisho toka Juni mwaka jana kabla ya kuchomewa gari yake na watu hao mwezi mmoja baadaye na kudai kuwa uwa ni mwanzo tu na kuwa hasa kinachotakiwa ni uhai wake tu.
Mwanahalisi limekuwa mstari wa mbele kuandika habari za ufisadi hapa nchini sijui kama vitisho na matukio hayo yahusiana na habari hizo ambazo limekuwa likiandika.
Lets wait and see.
SALAMU ZA MWAKA MPYA KWA WADAU...
After serious & cautious consideration..... your contract of friendship has been renewed for the New Year 2008! It was a very hard decision to make. So try not to mess it up!!!
My Wish for You in 2008: May peace break into your house. May thieves come to steal your debts. May the pockets of your jeans become a magnet for $100 bills. May love stick to your face like Vaseline. May laughter assault your lips! May your clothes smell of success like smoking tires. May happiness slap you across the face. May your tears be that of joy. May the problems you had forget your home address! In simple words ............ May 2008 be the best year of your life!!!
Subscribe to:
Posts (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
LONDON (Dow Jones)--U.K. defense giant BAE Systems PLC (BA.LN) Tuesday was fined GBP500,000 for improper accounting in relation to the award...
-
It’s not important to hold all the good cards in life. It`s important how well you play the cards which you hold. Often, when we lose...
-
A very rare opportunity. With Outstanding Entrepreneur, Great Visionary, Motivational Speaker, Founder, Chairman and CEO of Edmark Inte...
-
On Tuesday, 7th July we witnessed the peak of the Saba Saba festivities. I never go to the Dar es Salaam International Trade Fair, these day...
-
SAKATA LA RADAR BADO BICHI KABISA......... BAE in spotlight over Tanzania radar deal BAE Systems faces fresh controversy over foreign ar...