February 17, 2009

WHY I LOVE BONGO!!!!

Bongo ndo pahala pekee duniani humu waweza fanya mambo yako kienyeji, kuanzisha mradi wowote na hata kujipendelea kwa kupoka huduma ya jamii nzima na kujimilikisha na kisha ukapanga ni kiasi gani uwalipe wahusika na asikuoji wala kukusumbua awaye yote yule na bado mambo yakakuendea bomba tu, ka ka-shamba haka ka-matanki ya maji huko Mbezi Africana na Mwekezaji huyu ambaye amejitahidi kuwekeza hapa baada ya kujinyima kweli au kulala njaa kwa jina la save bajeti.
Anasema anaweza kujipatia tulita laki na nusu tu kwa siku na kugawa kwa tujibiashara twake uto tudogo tu na kila mwisho wa mwezi ulazimika kujikamua kwelikweli kuwalipa DAWASCO libili la kumkomoa la TSHS 122,000/- , analalamika kuwa anaonewa sana na hawa jamaa kwani HILO LIBILI NI KUBWA SANA kulinga na tujimaji atumiatwo, yaani tulita laki moja na nusu tu kwa siku, zaidi soma hapa.
Hayo ndo ya huku kwetu BONGO, Ndo maana naipenda sana Bongo!!!!

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...