November 20, 2011

TAQWA YATEKETEZA WANAHISABATI 6 WA UDSM

Moses Mwale (Zambian) mmoja wa Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam aliyesalimika  kati  ya kumi, watatu wamelaza Hospitali ya Ngara. 



  • Vifo vyafikia 18,
  • Wote watambuliwa,
  • Mtoto ahamishiwa Bugando


Ajali ya Basi la Taqwa na Lori la Azam iliyotokea jana Lusaunga wilaya ya Biharamulo imeteketeza wanafunzi 6  wa mwaka wa pili Chuo Kikuu cha Dar es Salaam waliokuwa wakichukua Masters of Science in Mathematical Modelling, walikuwa wakienda Rwanda kwenye warsha ya Pure Mathematics.

Kwa mujibu wa Mratibu wa Kozi hiyo yenye wanafunzi toka mataifa mbalimbali katika UDSM Dk Wilson Manera Charles  alisema wanafunzi hao ni kati ya kumi ambao waliteuliwa kuwakilisha katika warsha hiyo ya wanahisabati inayofanyika kila mwaka, wannne wamejeruhiwa na wanaendelea na matibabu, aliongeza kuwa waliokufa ni Mzambia mmoja, Malawi 2, Mganda 1 na Watanzania 2.

Naye Mganga Mkuu wa Hospitali ya Biharamulo Dr Grasmus  Sebuyoya alisema vimeongezeka vifo 2 na kufikia jumla 18 na kuwa mpaka sasa maiti zote zimetambuliwa na nane kuchukuliwa na ndugu zao kwa maziko, mingine insaburi ndugu.

Pia aliongeza kuwa Mtoto mdogo wa kiumu anayekadiriwa kuwa na miaka miwili na nusu ambaye mama yake amefariki ajalini amehamishiwa hospitali ya Bugando Mwanza kwa matibabu zaidi.


Majeruhi walioko Biharamulo ni Tina Elisha, Rose Nula, Janet Kisanga, Moses Mwale, Joseph Bigilimana, Anicet Mrundi, Joseph Baltazary na Masalu Leonard.

Maiti zilizotambuliwa ni Abiba Juma, Faida Abdalah, Aziza Said, Andi Ibrahim, Chanda Congo, Nshaija Muganyizi na  Kasimu Dadi, wengine ni Erick Eliude, Chinuka Hamajata na Ndizeye Pili.  

Bunge wants, Luhanjo, Jairo Utouh taken to task






THE National Assembly on Saturday resolved that the government should take appropriate action against the Chief Secretary, Mr Phillemon Luhanjo, and the Controller and Auditor General, Mr Ludovick Utoh, following unlawful collection of money to finance endorsement of the Ministry of Energy and Minerals' annual budget.

 
The House has also resolved that the government should take disciplinary and legal action against the Minister for Energy and Minerals, Mr William Ngeleja, his Deputy Minister Mr Adam Malima and the Permanent Secretary for the Ministry of Energy and Minerals, Mr David Jairo, over similar offences.

 The resolutions followed a report by a Parliamentary Select Team that established that Mr Jairo collected the money contrary to the laws of land and government's regulations.

 Mr Jairo wrote letters to Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC) requesting 50m/-, the Rural Energy Authority (REA) asking for 50m/-, TANESCO (40m/-) and EWURA (40m/-) for finalization of a budget process of the ministry.

 Three institutions contributed as requested except for EWURA who resorted to financing dinners at a total cost of 9,797,600/-. Presenting the report, the Chairman of the team, Eng. Ramo Matala Makani (Tunduru North-CCM), revealed that the ministry, through Mr Jairo's initiative collected 418,081,500/- posting it in the bank account of the Geological Survey of Tanzania (GST).

 Mr Makani revealed further that out of the amount, payment of 126,044,480/- were doubtful and therefore the National Assembly resolved that a forensic audit should be conducted to establish the validity of the payments.
 

The team questioned the rationale of such initiative considering the fact that the ministry had in June this year received 171,542,000/- from the Treasury as other charges. Available documents show that the ministry had 35,500,000/- for such purpose while requirements stood at 207,042,000/-.

 According to the report, available ministry's documents showed that 17,480m/- were paid on July 19, 2011 to African Dreams Conference Centre Ltd for food and entertainment for five consecutive days without supporting documents.

Source: Daily News

UPDATES: AJALI YA TAQWA - 16 WAFARIKI PAPO HAPO

Watu 16 wamefariki papo hapo na wengine 17 kujeruhiwa baada ya basi la Taqwa No T635 AVC lililokuwa likitokea Dar kuelekea Bujumbura kugongana uso kwa uso na lori la Azam No RAB 255 W eneo la Lusaunga, Wilaya ya Biharamulo Mkoani Kagera, 


Madereva ni miongoni mwa waliokufa, akiongoea na Bongo Pix kaimu Mganga Mkuu wa Hospitali ya Biharamulo Dr Michael Abila amethibitisha kupokea maiti 15 na majeruhi 12 huku majeruhi watano na maiti moja wakipokelewa katika Hospitali ya Ngara. 


Mongoni mwa waliofariki ni wanawake saba na wanaume 9 huku mtoto mdogo ambaye amepoteza mama yake katika ajali akijeruhiwa vibaya, pia miongoni mwa waliofariki walikuwepo watu watatu wa familia moja waliokuwa wakielekea harusini ambao miili yao ilichukuliwa jana. 


Majina ya marehemu na majeruhi yatapatikana muda si mrefu. 

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...