October 28, 2008
Hii imekaaje wadau?????
Tukiachana na maandamano ya wahariri, je hii nayo imekaaje wadau? imekaa njema kweli?
askari hawa ambao hawakuona utambulisho wote huu alionao Mroki al maarufu "Father Kidevu" na kuamua kumjebu bila huruma kulikoni?
Picha: Mpochi
Wahariri waandamana BONGO
Maandamano yikiwasili kwa Mkuchika. Wizara ya Habari, Utamaduni na Michezo
Mhariri na Mkurugenzi wa gazeti lililotiwa lupango na serikali Mwanahalisi akimfunga mdomo mmoja wa waandamanaji.
Wahariri Kibanda na Mapinduzi
Mwenyekiti wa MISA TAN na Mhadhiri wa UDSM IJMC Ayoub Riyoba (kushoto) na baadhi ya wahariri na waandishi wa vyombo mbalimbali wakiwa mbele ya wizara ya habari baada ya maandamano yaliyoitiswa na bongo Editors forum kupeleka malalamiko kupinga kufungiwa kwa gazeti la Mwanahalisi miezi mitatu na serikali.
Hata hivyo hawakuweza kuonana na waziri wala naibu wake kutokana na kuwa wako Dodoma ambako bunge ndio linaanza leo hii.
Subscribe to:
Posts (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
It has been a while now that my life had taken on a sense of expectation. It has been almost 3 months since I met Russell Simmons at a char...
-
It’s not important to hold all the good cards in life. It`s important how well you play the cards which you hold. Often, when we lose...
-
Katuka mila nyingi za kiafrica ama kibantu ni utovu wa nidhamu kumwita mkubwa wako MWONGO ni kitendo cha dharau, nami nisingependa kabisa ku...
-
LONDON (Dow Jones)--U.K. defense giant BAE Systems PLC (BA.LN) Tuesday was fined GBP500,000 for improper accounting in relation to the award...
-
Gadhafi na Obama With reported pockets of fighting remaining in Tripoli on Wednesday, the whereabouts of Lib...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
The government of Uganda is planning to pay a compensation fee to the government of Tanzania for the help offered Uganda in the 1979 liber...
-
Edmark International founder, Chief Executive Officer and Chairman. Edmark Tanzania welcomes all entrepreneurs, business people a...