August 15, 2011
Bunge for sale
This image of "Photo n' Art" of Tanzania Parliament is for sale,
Please call +255784 475576 and give the price.
Please call +255784 475576 and give the price.
Kulikuwa na sababu gani kupandisha mafuta???
Kuna mambo mengine huwa hayaiingii akilini haraka hasa kwa watu wenye akili za kawaida kama za kwetu, sielewi uamuzi ule uliosabibisha usumbufu usio na sababu yoyote nchini mwetu ulikuwa na maana gani au manufaa gani kwa mtu mmoja mmoja ama taifa, sielewi.
Kwa vipimo vyovyote vile manufaaa ya uamuzi ule ni madogo kuliko madhara yake, kwanini? mara baada ya uamuzi wa kushusha bei ya mafuta (kwa vigezo vyovyote vilivyotumika, ama vya kisiasa) tulishuhudia mambo ambayo hatukuwai kushuudia katika sekta hii, vituo viligoma kuuza, makampuni ya mafuta yakagoma kupeleka mafuta vitioni, kiongozi wao akatoa sharti la masaa 24 (kwa kimombo - ultimatum) iongeze bei ama sivyo...., matokeo yake ni kukosekana kwa mafuta katika sehemu kubwa ya nchi na pale yalipopatikana yaliuzwa kwa bei ya kuruka, kuna taarifa kuwa baadhi ya sehemu ilifika Sh 5,000 kwa lita moja na mpaka sasa haijatengemaa.
leo hii wiki moja tu baada ya kasheshe yooote hiyo tunaambiwa yamepanda tena, sababu pesa yetu ya "madafu", huku bado hata machungu ya uamuzi wa mwazo hayajaisha, baadhi ya mikoa mpaka sasa bado haijapata mafuta, aliyepewa adhabu wala hajaanza kui-feel, na hali ya mafuta haijatengemaaa, twaambiwa ni kushuka kwa thamani ya shilingi! mtu atajiuliza, lini shilingi yetu iliwai kupanda???, je kulikuwa na sababu gani kushusha bei na kuleta usumbufu huu?? je si ni rahisi mtu kuunganisha moja na moja ukapata mbili? kwamba haya ni matokeo ya ile ultimatum ya mabwanyenye wa mafuta????
Tutafakali!!
Subscribe to:
Posts (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Prof Aloysius Mwessa Hnonoli ni Mbongo wa kwanza kuwa Mkurugenzi wa Muhimbili na Mkuu wa Chuo kikuu cha Tiba. Mstaafu huyu jana alitu...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...
-
Mineral occurrence in Tanzania by TMAA UONGEZAJI WA PATO LA MTANZANIA Mheshimiwa Spika, 46. Lengo la Dir...
-
Kina dada wengi hivi sasa imekuwa ni kawaida kwenye kila shughuri hasa za usiku kukuta wamevaa nguo fupi, wengi wanasema ni fashion...
-
Ukumbi huko nyuma ya Minara miwili ukiwa ni wa mviringo. Eneoe kubwa la chai na ukaguzi pamoja na usajili kwa waalikwa. Sehemu za waa...