March 1, 2009

JK AWAPONGEZA STARS.

Pamoja na kutolewa Rais amewapongeza Stars kwa kufa kuime jana.
TAARIFA KAMILI YA MHE RAIS KIKWETE:

"Nimesikitika sana tumetolewa dakika za majeruhi. Lakini nimefurahi hatua tuliyofikia katika maendeleo ya soka. Sasa tunatambulika na kuheshimika katika ulimwengu wa soka Barani Afrika. Tuongeza bidii. Tusirudi nyuma, bali twende mbele.

Nawapongeza wachezaji kwa bidii na juhudi zao. Nawapongeza walimu kwa kazi nzuri waliyoifanya kuinua kiwango cha soka nchini. Nawapongeza viongozi wa TFF kwa uongozi wao nzuri. Nawapongeza Watanzania kwa kuiunga mkono timu yao. Mmekuwa chachu ya mafanikio haya.

Watanzania wenzangu tusife moyo. Mwanzo mgumu. Tumeanza vizuri na tumefika pazuri. Tuendeleee kuiunga mkono timu yetu. Mimi naahidi kuendelea kuiunga mkono timu yetu mpaka tufika pale tunapopataka sote."

JK

Je waishi maeneo haya????

WE WADHANI NATANIA???? Auliza Ray Mndolwa afisa biashara wa DAWASCO.
Kama wewe ni mkazi wa maeneo ya Ada Estate, Mwananyamala, Kijitonyama, Mwenge, Mlalakuwa,Makongo Juu, Mbezi beach,Masaki,Tegeta na Sinza n.k. jiandae kukosa maji baada ya siku saba ama fanya haraka kalipe bili na madeni yako yeto kwani DAWASCO inadai kuwa haya ni makazi ya watu sugu kulipia huduma ya maji yaani ni asilimia kati ya 20 na 50 tu ndo wanalipia.

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...