"Jua lilee literemke mamaaa, mwezi naoo utelemkee mamaaa haiyahiyaa hiyaa hiyaaa mamaaaa.............."
Je wakumbuka nyimbo gani za mchakamchaka za enzi zile? au ni nini wakumbuka katika miaka ya sabini na themanini shule za msingi na sekondari? Wakti ule tulikuwa ukifika shule tu mwakimbia mchakamchaka na kuimba nyimbo kibao hivi bado yafanyika hayo?? Nakumbuka wakti tuko Sekondari Jite Best kulikuwa na mwalimu mmoja anaitwa GB alikuwa anakuja saa kumi na nusu na kugonga kengere na kiboko mkononi, ole wako ubakie bwenini ujifanye ujasikia, hizo bakora zake ni balaa, hivi vingalipo hivi??
Mazingaombwe mwayakumbuka??? wale wakongo walikuwa wanajifanya wanatengeneza pesa, vitambaa, kalamu, NK na ilikuwa unalipa kiingilio na mwatangaziwa shule nzima siku hiyo HAKUNA MASOMA, hivi waliishiaga wapi wale??
Mdau ni kitu gani wakumbuka???
October 28, 2009
Hongera Tamila & Sarah
Bwana Harusi Emmanuel Makene Tamila na Bi Harusi Sarah Mgaya wakipozi mara baadaya kufunga pingu za maisha Jumamosi iliyopita. Tamila ni Mwanasheria Kitaaluma na Mmiliki wa Kampuni ya Sheria ya Kings Law Chembers na Pia ni Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Kinondoni, mwenyeji wa Mwanza na Bi Harusi Sara ni Mwanafunzi wa Udaktari wa Madawa katika Chuo Kikuu cha Hubert Kairuki na mwenyeji wa Ludewa Iringa.
Wabongo wanakimbia ARV?????
TANZANIA: Low uptake of ARVs hampering universal access
HIV-positive Tanzanians are not taking advantage of the availability of life-prolonging anti-retroviral medication in hospitals around the country, says a senior government official.
"We have an adequate supply of ARVs in our hospitals and other outlets, but there are few people who are turning out for this important service," David Mwakyusa, Health and Social Welfare Minister, told IRIN/PlusNews.
An estimated 250,000 people are taking ARVs, while another 190,000 who need them are not accessing them. In 2008, the government re-affirmed its commitment to achieving universal access to ARVs by 2010.
"We are working hard to encourage people to check their HIV status and those infected to go for further medical attention and when necessary start taking ARVs, which are in good supply," the minister said.
Mwakyusa also bemoaned the fact that few pregnant women made use of prevention of mother-to-child transmission (PMTCT) services available at antenatal clinics; just 33 percent of pregnant women who require PMTCT services access them, according to UNAIDS.
Research has found that although HIV-positive Tanzanians welcome anti-retroviral therapy, transportation, supplementary food costs, ill-treatment at hospitals and difficulties in sustaining long-term treatment all act as barriers to accessing treatment. Fear of stigma as well as HIV denial, which often led patients to seek treatment from alternative healers, and inadequate numbers of trained medical personnel, also prevented patients from accessing healthcare.
"Multi-faceted interventions are required to promote regular HIV clinic attendance, including ongoing education, counselling and support in both clinic and community settings," authors of a recent study by the Centre for Population Studies and the London School of Hygiene and Tropical Medicine recommended.
Mwakyusa noted that Tanzania was planning to cut the cost of ARVs by producing them locally. He said it was important for the country to become more self-sufficient, especially in the face of the global economic downturn.
"We are praying that despite the global financial crisis, donors will continue supporting our efforts," he said. "The financial crisis is clearly affecting the capacity of donors to fund international programmes on AIDS."
icheki hapa
Subscribe to:
Posts (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Prof Aloysius Mwessa Hnonoli ni Mbongo wa kwanza kuwa Mkurugenzi wa Muhimbili na Mkuu wa Chuo kikuu cha Tiba. Mstaafu huyu jana alitu...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...
-
Mineral occurrence in Tanzania by TMAA UONGEZAJI WA PATO LA MTANZANIA Mheshimiwa Spika, 46. Lengo la Dir...
-
Kina dada wengi hivi sasa imekuwa ni kawaida kwenye kila shughuri hasa za usiku kukuta wamevaa nguo fupi, wengi wanasema ni fashion...
-
Ukumbi huko nyuma ya Minara miwili ukiwa ni wa mviringo. Eneoe kubwa la chai na ukaguzi pamoja na usajili kwa waalikwa. Sehemu za waa...