July 18, 2011

Breaking nyuuuuuuuuuuz!! Ngeleja akwaaa kisiki

Bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini imekwama kupita na kusogezwa mbele kwa muda wa wiki tatu ili  kutoa majibu muafaka kuhusu mgao wa umeme pamoja na mambo mangine.

Hoja ya kuhairisha bajeti hiyo imetolewa na Kiongozi wa Serikali Bungeni Waziri mkuu Mizengo Pinda, bunge bila kujari itikadi za vyama limepitisha kwa kauli moja hoja hiyo.

Pengine hii yaweza kuwa dalili njema kwa siasa za Tanzania kwa Wabunge kuungana kwa pamoja na kuwa na sauti moja katika mambo au matatizo yanayohusu taifa na kugusa wananchi moja kwa moja.


Huu ni ukomavu wa kisiasa unaotakiwa kuoneshwa katika mijadala yote.

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...