September 10, 2011

Orodha ya walionusurika Mv Spice


Sr.No.
Name
Age
1
Omar Ali
20
2
Mudhir Kassim
18
3
Ismail Mohamed
18
4
Said Khamis
35
5
Abdallah Khamis
20
6
Florance Fusi
49
7
Ali Juma Omar
19
8
Said Asa
44
9
Badru Haji
53
10
Juma Bakar
23
11
Ame Iddi
60
12
Bakari Juma
18
13
Khamis Haji
17
14
Mohamed Juma
15
15
Amour Juma
40
16
Khamis Abdallah
57
17
Tahir Bakar
17
18
Suleiman Khamis
14
19
Nasib Muhidin
21
20
Omar Masoud
18
21
Shaib Juma
25
22
Juma Ali Hamad
41
23
Hamad Suleiman Hamad
35
24
Hamiyar Hadi
28
25
Yusuf Hamad
14
26
Rashid Abdallah
30
27
Mjaka Juma
17
28
Haji Khamis
35
29
Hamad Said
34
30
Adil Issa
34
31
Salim Juma
30
32
Kombo Omar
16
33
Khamis Rashid
16
34
Nassir Salim
35
35
Omar Yahya
30
36
Hamad Ali Hamad
17
37
Said Saleh
25
38
Nassor Ali
25
39
Masoud Said
21
40
Haji Ali
32
41
Abeid Abdallah
30
42
Ali Kombo
22
43
Hamad Dadi
31
44
Hafidh Said
25
45
Ali Hassan
20
46
Ali Vuai
38
47
Hemed Omar Mussa
20
48
Issa Abdi Issa
37
49
Yusuf Mbarouk
30
50
Mbarouk Hamad
16
51
Musa Hamad
16
52
Suleiman Said
16
53
Salim Ali
34
54
Masoud Musa
42
55
Yusuf Ame
30
56
Hemed Mbarouk
27
57
Abdallah Sichui
35
58
Ali Khamis Ali
35
59
Salim Said Mohammed
13








ORODHA YA WALIONUSURIKA
Zantel inatoa salaam za rambirambi kwa wale wote waliopoteza ndugu, jamaa na marafiki katika janga hili.

Katika jitihada za kusaidia umma kwa ujumla, Zantel itakuwa ikitoa orodha ya majeruhi kadri ya majina yatakavyopatikana.

*Orodha hii ni kama inavyotolewa na Hospitali ya Mnazi Mmoja.






Bongo Pix say,

 Asante sana Zantel kwa kuonesha njia, hakika huu ni mfano wa kuigwa kwa makampuni na wote wenye mapenzi mema katika kipindi hiki kigumu kwa ndugu zetu, tujitahidi kusambaza taarifa hizi kwa wote ikiwezekana hata kupitia ujumbe wa simu, kwani yeyote aliyekuwa na jamaa yake katika meli hii hawezi kutulia mpaka pale atakapo pata taarifa za majariwa yake.   


SMZ yatangaza siku 3 za maombolezo

Rais Jakaya kikwete akiwa na Rais wa SMZ Dr Ali Mohamed Shein  wakiaangalia miili ya watoto  mjini Zanzibar leo hii. 

Rais wa SMZ Dr Ali Mohamed Shein akifariji moja wa manusura wa ajali ya meli ya Mv Spice.
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imetangaza siku tatu za maombolezo kufuatia ajali ya meli ya Mv Spice iliyotokea alfajiri leo ambapo watu zaidi ya 100 wanasadikika kuwa wamekufa huku 620 wakiokolewa. 

Watu wasiopungua 187 wamekufa baada ya meli iliyokuwa imezidisha mizigo kuzama katika pwani ya kisiwa cha Zanzibar ikiwa na watu takriban 800.

 Msemaji wa serikali amesema watu 620 walionusurika wameokolewa. Serikali imetangaza siku tatu za maombolezo.

 Inadhaniwa kuwa meli hiyo ilizama baada ya injini yake kukosa nguvu.
 Shughuli za uokoaji zilikwazwa kwa kuwa meli hiyo ilizama usiku.

  Meli iliyozama
 Zaidi ya watu 100 bado hawajulikani walipo, lakini watu 325 walionusurika wameokolewa, kwa mujibu wa waziri wa masuala ya dharura wa Zanzibar.

 Meli hiyo, MV Spice Islander ilikuwa ikisafiri kati ya Kisiwa kikuu cha Unguja kuelekea Pemba.

 Meli hiyo ilikuwa ikirejesha watu baada ya kumalizika kwa mfungo wa Ramadhani.

 Msaada
Mamlaka za huko zimezidiwa na tukio hilo na zimeomba msaada kutoka nje.
 Serikali ya Zanzibar imeunda kituo cha uokoaji na kutoa wito kwa taasisi zote kusaidia katika shughuli za uokozi. Serikali hiyo pia imeomba msaada kutoka nchi nyingine za nje, kama vile Kenya na Afrika Kusini.

 Walionusurika walichukuliwa na boti za kibinafsi na kupelekwa katika bandari ya Zanzibar, amekaririwa kamishna wa polisi wa Zanzibar Mussa Hamis.

  Watu walionusurika wakipelekwa hospitali
 Miili ya watu imekuwa ikisukumwa katika pwani ya Zanzibar na mawimbi. Mpaka sasa miili ya watu 100 wamepatikana, amesema mwandishi wa BBC Ali Saleh akiwa Zanzibar.

 Maelfu ya ndugu na jamaa wanasubiri kusikia taarifa za ndugu zao ambao walikuwa ndani ya meli hiyo, anasema mwandishi wetu.

 Mohhamed Aboud, waziri wa masuala ya dharura wa Zanzibar anasema watu 259 walionusurika wameokolewa lakini 40 kati yao wamejeruhiwa sana.
 
kwa mujibu wa BBC.

Ben Mkapa azindua kampeni za CCM Igunga.

Rais Mstaafu Ben Mkapa akimnadi mgombea wa CCM Dalali Peter Kafumu kwa wana Igunga leo hii

Msanii Dokii akitumbuiza wana Igunga



Orijino Komedi wakishambulia jukwaaa

Rais na Mwenyekiti mstaafu wa CCM Benjamin Mkapa amezindua rasmi kampeni za kuwania ubunge kwa jimbo la Igunga kwa kumwagia sifa kemkem mgombea wa chama chake Dalali Peter Kafumu.

Picha kwa hisani ya Michuzi Blog

Msiba mkubwa Zanzibar

Mv Spice. Photo by AFP
Waziri wa Mambo ya Ndani Nahodha akiangalia uokoaji.
Waokoaji wakiwa na baadhi ya miili iliyoopolewa, mpaka muda wa mchana miili 50 ilikuwa imeopolewa.
Wakazi wa Mji wa Zanzibar wakifuatilia uokoaji. Picha kwa hisani ya Vituko Zenji blog



Meli ya Mv Spice iliyokuwa ikitokea Pemba kuelekea Unguja imezama usiku wa leo maeneo ya Nungwi ikiwa na abiria wanaokadiriwa kufikia zaidi 1000, wengi wao wanaofiwa kufa maji. 


Kwa mujibu wa vyombo mbalimbali vya habari, vinasema meli ilikuwa imepakia mizigo na nabiria kuliko uwezo wake. 


Poleni sana ndugu zetu wa Zanzibar, Mwenyezi Mungu awape moyo wa subira katika kipindi hiki kigumu cha majonzi, zaidi tuzidi kumuomba yeye ili manusura wengi wapatikane. Ameeni

Baa 12 zachomwa moto Zenji!!







Baa nyingine mbili zimechomwa moto katika mtaa wa Mbweni katika Mkoa wa Mjini Mgharibi mjini Zanzibar.Baa zilizochomwa moto usiku wa kuamkia jana ni Nyamachoma na Executive Park ambazo walioshuhudia walisema zilianza kuwaka moto kwa wakati moja saa 12:00 alfajiri.

Zaidi ya watu watano walinusurika kufa katika baa ya Executive ambayo upande mmoja ni nyumba ya kulala wageni.

Kwa mujibu wa watu walioshuhudia tukio hilo watu wenye silaha za kienyeji na bunduki walifyatua risasi hewani kuwatisha walinzi kabla ya kumwaga petroli katika majengo hayo na kuyalipua moto.

Baadhi ya wafanyakazi wa baa ya Executive walisema wakati wamelala walisikia watu wakipita nje na baadaye kidogo kuona jengo linawaka moto na kelele za kuwataka watoke nje.

“Tulipotoka nje, tayari moto ulikuwa umeshika jengo lakini watu walitupa taarifa ya kututaka kuamka nao tayari walikuwa wamekimbia,” alisema mfanyakazi mmoja wa baa hiyo.

Hata hivyo, alisema tukio hilo lilitokea baada ya watu wasiopungua wanne kumtishia mlinzi kwa bunduki na kufanikiwa kuchoma moto baa hiyo.

Meneja wa baa ya Nyamachoma, Muumini, alisema baa hiyo ilikuwa na walinzi wasiopungua wanne ambao ni vijana wa Kimasai.

Alisema wakati watu hao wanaivamia kila mmoja akiwa amevalia kanzu na koti, walinzi wa baa hiyo walikuwa wanaangalia televisheni ukumbini.

“Polisi wamefanikiwa kuokota mabaki ya baruti, inaonekana wahalifu wallikuwa na bunduki bandia iliyosababisha walinzi kusita kupambana nao,” alisema meneja huyo.Akiwashukuru waliosaidia kuzima moto huo, meneja huyo alisema juhudi hiyo ilifanikishwa na majirani kwa ushirikiano mkubwa na Kikosi cha Zimamoto.

Aliungana na wamiliki wengine wa baa kulalamikia kitendo cha Serikali ya Zanzibar na ya Muungano kushindwa kuchukua hatua za kupambana na uhalifu huo, ambao tayari umesababisha baa 12 kuchomwa moto tangu Januari, mwaka huu.

Hakuna mtu aliyekamatwa kutokana na uhalifu huo, lakini Kamishana wa Polisi Zanzibar, Mussa Ali Mussa, katika mahojiano na NIPASHE mara kadhaa alisema matukio hayo ni hujuma na kusema uchunguzi unaendelea.

Si Serikali ya Zanzibar wala ya Muungano zilizotoa tamko lolote juu ya matukio hayo.Viongozi wa Umoja wa Wamiliki wa Vileo Zanzibar wameomba msaada kupitia njia mbalibali.

Source: Nipashe

Kwa tukio hili inatimiza baa 12 zilizochomwa moto tangu mwezi Januari, hakuna aliyekamatwa wala kufikishwa mbele ya vyombo vya sheria, kwani pamoja na sababu zozote wanazoweza kuwa nazo wahuni hao, ndio ni wahuni (haiingii akilini mtu mwenye akili zake timamu kufanya hayo) dado kitengo hicho naamini ni cha jinai na inapaswa sheria kuchukua mkondo wake, je ni sababu gani hakuna aliyekamatwa, kuhojiwa au kufkishwa mahakamani? mamlaka husika zinajua.




Wahuni hawa wakiachwa kuendelea kufanya wayafanyayo pasipo mamlaka husika kuchukua hatua ina madhara sana hapo baadaye kuliko wanavyofikiri, tujiulize sababu wanayotumia kufanya wanayofanya, iwe sababu iwayo yote ile je watakapomaliza baa watahamia wapi? Mwalimu aliwai onya kuwa dhambi ya ubaguzi ni kama kula nyama ya mtu, hauachi, iko siku wataanza kuchoma na vituo vya polisi kwa kisingizio hichi ama kingine chochote au maofisi ya Serikali au hospitali kwa si ni kutafuta sababu , na ziko nyingi sana, si kwamba natetea walevi au unywaji pombe, la hasha, bali haiingi alikini vitendo hivyo. 


Wapo wanaodhani ni sababu za imani, mi nadhani sio kweli, si imani kinzani bali ni uhuni, mwanazuoni yeyote aliyesoma vyema vitabu vitakatifu anajua kabisa kwa Mwenyezi Mungu aliumba kila jambo kwa wakati wake, Biblia (kitabu nikisomacho mimi) inasema Mungu aliumba Mbingu na Nchi, Giza na Nuru, Shetani na Malaika, Wema na Wabaya naam bila shaka walevi na wacha Mungu, Peponi na Kuzimu, kila jambo na wakati wake, tujiulize ni kwa nini Mungu aliumba hasi na chanya? je alikuwa anashindwa kuumba hasi peke yake? Mwanzo 1&2




Aliumba yote hayo kabla hata hajamuumba mwanadamu, tujuilize ni kwa nini aliumba hivyo? bila shaka sote kwa imani zetu twaamini kuwa HAKUNA NENO LOLOTE MUNGU HAWEZI FANYA, je wahuni hawa wafanyayo hayo wanajua hii? wamesoma vitabu gani viwapayo kufanya hayo? ni menukuu Biblia lakini naamini ata vitabu vinginevyote, isipokuwa cha shetani (kama kipo) vitakuwa vyakubaliana na usemi huo, na kama Mungu wetu hashindwi jambo je anashindwaje kujitetea katika hili au kutetea waja wake?




Wahenga walisema "Mchelea mwana kulia ulia yeye"

Manji sues Mengi for 100bn/- not 1/- any more

Sasa si Shiling Moja tena bali ni Billion 100/-, katika kesi mpya ya madai ya Manji dhidi ya Mengi.
Yusuf Manji

Reginald Mengi

A PROMINENT businessman Yusuf Manji, on Thursday, filed a plaint at the High Court against the IPP Executive Chairman, Mr Reginald Mengi and eight others for deliberately conspiring to defraud him.

 In the plaint civil case number 135 of 2011, apart from Mengi, other respondents include The Reginald Mengi Family Trust, Sabas Kiwango, Silvanus Chingota, Zuberi Kiponda, Saeed Kubenea and Islam Mbarak.

 Others are Kainerugaba Msemakweli and Kagoda Agriculture Limited and the plaintiffs are Yusuf Manji and Quality Finance Corporation.

 In the plaint it was mentioned that Manji through Quality Finance Corporation entered into a loan agreement with Kagoda Agriculture Limited but after being informed by the government that some of the proceeds received by his company from the transaction with Kagoda Agriculture Limited were tainted, on March, 2006 he decided to return the money to the government instead.

 The plaint states that the move to remit the money against the advice of the third accused Saba Kiwango who was once Manji's counsel angered the Reginald Mengi Family Trust leading to Mengi's decision to use one of his media outlets to denounce Manji as one of the most corrupt individuals in the country.

 The plaint claims that in an attempt to put pressure on Manji, Reginald Mengi Family Trust and Mengi established through Saeed Kubenea a publication called Mwanahalisi so as to make numerous negative publications about Manji.

 Mr Manji is demanding 100bn/- against the defendants being compensation for defaming the plaintiffs on September 1, 2011 by Kainerugaba Msemakweli in the media during a 20:00 pm news bulletin broadcast and through interviews.

 There were also photographs published prominently in the Guardian and Nipashe newspapers dated September 2, 2011 that portrayed Manji negatively.

 Manji's plaint also states that the defendants are all aware that the allegations against the plaintiffs were not only falsehoods, but were also made with malice.

 It claims that the documents to support such falsehoods could only have come to the defendants' custody through being associated with, and being part of Kagoda Agriculture Limited.
 

The 100bn/- compensation is also for the defendants' conspiracy to defraud the plaintiffs through a well orchestrated campaign running from 2005 to date in all matters involving Kagoda Agriculture Limited. 


 Source: Daily News

Mauaji ya kutisha Arusha - Msichana amchinja babayake


A WOMAN identified as Margret Elias Mollel, 32, is being held by the police for the alleged gruesome killing of his own father before dumping the deceased's body in a pit latrine.
 


The woman is said to have chopped his father, Elias Roki Mollel, 75), into several pieces by using a machete.
 


During interrogation, Ms Margret Mollel, is said to have confessed to having carried out the killing after her father denied her permission to sell off a piece of family land.
 


She said that she wanted to sell the land so that she could get money to go to Samunge village in Loliondo to seek treatment from former Lutheran Pastor Ambilikile Masapila whose herbal concoctions are believed by many to cure chronic diseases.
 


The Acting Arusha Regional Police Commander, Mr Akili Mpwapwa, said that the pieces of the hacked body were discovered on Thursday September 8 but preliminary forensic investigations indicated that the deceased was killed on Sunday September 4.
 


The incident occurred in the Ambuleni area of Meru District and according to the police, neighbours discovered the body after a strong smell started emanating from the latrine outside the deceased's house.
 


Neighbours said that they noted that the old man had gone missing for a while and when they queried her daughter she would always say that her father had gone to Samunge village in Loliondo for treatment from the famed former cleric.


 The smell from the latrine prompted the neighbours to check the toilet where they realized that the odour was from a decomposing body, with one of the deceased's legs still hanging from the latrine hole.


 Police were called to the scene and upon arrival they broke the latrine and retrieved pieces of the deceased's body but a number of organs were missing and are yet to be found, including Mr Mollel's private parts.
 


The police are still investigating the matter to establish whether the suspect acted alone or was assisted by accomplices.

Source: Daily News

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...