Karamagi akili bungeni kumiliki asilimia 35% ya hisa za TICTS na kuwa yeye ndo mwenyekiti huku waheshimiwa akiwemo Mh Chenge aka "Vijisenti" na Rostam Azizi wakifuatilia kwa makini.
April 25, 2008
Mrs Pinda
Mambo ya Mswati hayooo
Mambo ya mila na utamaduni wa Bondeni kwa Mfalme Mswati, kila mwaka jamaa anakazi ya kuchagua mwali mpya kabisa wa kuoa.
King Mswati alianza kutawala Swaziland mwaka 1986 ana umri wa miaka 40 na mpaka sasa ana wake 13 na anauhakika wa kuoa mke 1 kila mwaka, je akifanikiwa kufikisha miaka 100 atakuwa na wake wangapi?
Wesley Snipes afungwa
Wesley Snipes amehukumiwa kifungo cha miaka mitatu kwenye gereza la serikali (federal). Kisa hakulipa kodi aliyostahili kulipa! Denzel Washington alikuwa mahakamani akitoa shuhuda kuhusu jinsi Snipes alivyo mtu mwema. Pia Woody Harrelson alitoa shuhuda. Snipes mwenyewe alimwomba hakimu amwonee huruma! Lakini wapi! Jaji kampa kifungo cha juu kabisa miaka mitatu. Alisema awe mfano kwa wengine!
Kwa hisani ya Dada Chemi.
Neno la Leo
“To them God has chosen to make known among the Gentiles the glorious riches of this mystery, which is Christ in you, the hope of glory. We proclaim him, admonishing and teaching everyone with all wisdom, so that we may present everyone perfect in Christ.”- Colossians 1:27-28
Subscribe to:
Posts (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
It has been a while now that my life had taken on a sense of expectation. It has been almost 3 months since I met Russell Simmons at a char...
-
It’s not important to hold all the good cards in life. It`s important how well you play the cards which you hold. Often, when we lose...
-
On Tuesday, 7th July we witnessed the peak of the Saba Saba festivities. I never go to the Dar es Salaam International Trade Fair, these day...
-
Gadhafi na Obama With reported pockets of fighting remaining in Tripoli on Wednesday, the whereabouts of Lib...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
The government of Uganda is planning to pay a compensation fee to the government of Tanzania for the help offered Uganda in the 1979 liber...
-
Katuka mila nyingi za kiafrica ama kibantu ni utovu wa nidhamu kumwita mkubwa wako MWONGO ni kitendo cha dharau, nami nisingependa kabisa ku...
-
LONDON (Dow Jones)--U.K. defense giant BAE Systems PLC (BA.LN) Tuesday was fined GBP500,000 for improper accounting in relation to the award...