March 17, 2009

WAMA YAPIGWA JEKI.

Mke wa Rais na Mwenyekiti wa WAMA Mama Salma Kikwete Amepokea Hundi ya shilingi Milioni Tano 5M Kutoka waKiongozi wa African Diplomatic Spouses Group (ADSG) Bi Hawaida Kalo Mke wa Balozi wa Sudan. Katikati ni Mke wa Balozi wa DRC Bi Celina Juma. Msaada huo umetolewa Ili kusaidia shughuli za WAMA.

Watani mmemsikia First Lady???

Mama Salma Kikwete awataka wanaume wa mkoa wa Mara kuacha tabia ya kuwapiga wake zao
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete amewataka wanaume wa mkoa wa Mara kuacha tabia ya kuwapiga wake zao bali wawasaidie kufanya mambo ya maendeleo ambayo yatawasaidia kujikwamua kimaisha.

Mama Kikwete aliyasema hayo jana wakati akifungua semina ya siku mbili ya uwekezaji na ujasiriamali iliyofanyika katika ukumbi wa uwekezaji uliopo mjini Musoma.

“Nilikuwa nasikia kuwa eti wanawake wa mkoa huu wakipigwa na wanaume zao ndiyo wanaonekana kuwa wanapendwa sana sasa sijui kama ni kweli au la, lakini kwa kuwa leo niko na nyinyi wenyeji wa Mara nitajua kama ni kweli ”, alisema.
Tatizo langu mi kwa watani zangu hawa ni hapo, je kinamama si wataona waume zao hawawapendi? nasikia eti ikipita wiki bila kupigwa mama wa kikulya uanzisha zogo mwenyewe na asipopata kichapo basi atarusha jiwe juu ya bati afu atakinga mgongo iliaangukiwe nalo ndo amani inarejea ndani ya nyumba, kweli hayo watani???

JK in UK 4 G20 MEETING

Rais Jakaya Kikwete akiwa na mwenyeji wake Waziri Mkuu wa UK Bw Gordon Brown.

Miaka thenashara bila malipo kipawa

Wakazi wa Kipawa walikusanyika kwa siku 2 mbele ya ofisi za Mamlaka ya viwanja vya ndege kudai malipo ya nyumba zao ambazo zilitathminiwa yapata miaka kumi na mbili iliyopita na kutakiwa wasizitengeze wala kufanya chochote hadi watakapolipwa mafao yao, uvumilivu umewashinda ilibidi wahamie ofisi za TAA ili kupeleka kilio chao.
Hatimye mkuu wa wilaya alihaidi kuwasaidia kufikisha kilio chao mbele kwa mbele kwani alikili kuwa hilo ni zito kwake kulishughulikia.

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...