October 7, 2009

inakuwa vipi mchumba anapokuwa changudoa??

KAMPALA-Patrons at a hotel in Bakuli, Kampala were last Monday amused when a sex worker turned out to be the client’s girlfriend.
Kakooza, a student at Mbarara University, was in Kampala for a workshop. He said his girlfriend, a student at Makerere University, told him she was with her parents.
When Kakooza asked for a prostitute, the attendant brought him a lady whom he identified as Hellen. Kakooza was in shock and said the lady was his girlfriend and Hellen was not her real name.
When she realised that Kakooza was the client, she fled.
source: New Vision.
DUH! KUMBE WOTE UTULIVU SIFURI????
INGEKUWA NI WEYE MDAU UNGEFANYAJE??

.........Prof Mukandala awatwangia

Mukandala ataka wabunge wasilipwe.
Makamu mkuu wa UDSM amenukuliwa na vyombo mbalimbali vya habari wakati akitoa mada katika mkutano wa hali ya siasa unaoandaliwa na REDET huko milmani akitaka Wabunge na wanasiasa wengine kutolipwa, akisema kuwa hiyo ni kazi ya kujitolea

wakti Idd Simba awabeep wabunge.........

MFANYABIASHARA maarufu nchini, Idd Simba, amesema, lugha ya kiingereza imesababisha Tanzania iwe na sheria mbaya zikiwemo za madini.
Mbunge huyo wa zamani wa Ilala, Dar es Salaam, amesema, anaona aibu kwa kuwa alishiriki kupitisha sheria mbaya za madini zinazotumika kuinyonya nchi.
Mwanasiasa huyo amedai kuwa, chanzo cha ubaya wa sheria hizo ni lugha ya kiingereza kwa kuwa sheria zimeandikwa kwa lugha hiyo lakini idadi kubwa ya wabunge hawaielewi kwa ufasaha.
“Zile sheria ni mbaya na mimi naona aibu kwamba zilipitishwa wakati nikiwa kwenye lile Bunge, lakini unatarajia nini wakati sheria zile zinatungwa kwa Kiingereza, na si wabunge wengi wanaoelewa lugha hiyo,” amesema.

TANGAZO LA MKUTANO wa WABONGO SAUZI

HIGH COMMISSION OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
Telephone:012- 342 4371/93

Fax: 012 – 430 43 83

822 GEORGE AVENUE,
P.O. BOX 56572,
ARCADIA 0007,
PRETORIA

TANGAZO LA MKUTANO WA RAIA WA TANZANIA TAREHE 24 OKTOBA, 2009

UBALOZI WA TANZANIA NCHINI AFRIKA KUSINI UNAPENDA KUWATANGAZIA WATANZANIA WANAOISHI KATIKA JIMBO LA GAUTENG KUWA KUTAKUWA NA MKUTANO WA WATANZANIA WANAOISHI KATIKA JIMBO HILO UTAKAOFANYIKA TAREHE 24 OKTOBA, 2009 SAA NANE NA NUSU MCHANA HADI SAA KUMI NA MOJA JIONI KATIKA UKUMBI WA PRETORIA COUNTRY CLUB, NAMBA 241 MTAA WA SYDNEY, WATERKLOOF, PRETORIA.
MKUTANO HUO UNA LENGO LA KUANZISHA JUMUIYA YA WATANZANIA KATIKA JIMBO HILO.
TAFADHALI TUNAOMBA KUVAA NADHIFU NA KUZINGATIA MUDA.
KWA MAWASILIANO ZAIDI WASILIANA NA WAFUATAO:
1. Jumanne Fhika 0762 909449
2. Faustine Ndugulile 0799 965120
3. Laurean Rugambwa 0835 566966
4. Lumbi na Ethel 012 344371/012 3425921
IMETOLEWA TAREHE: 3.10.2009
UBALOZI WA TANZANIA- PRETORIA

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...