Rais Jakaya Kikwete akiongozana na Mkewe Mama Salma wakitoa heshima za mwishom kwa mwili wa Marehemu Askofu Mkuu Anthony Mayalla wakati wa ibada ya mazishi huko Mwanza mapema leo.
August 26, 2009
JK apokea hati za utambulisho
Mafua ya ndege yapigwa jeki.
Katibu Mkuu wa Jumaiya ya Afrika mashariki Balozi Juma Mwapachu (kushoto) akipokea funguo na nyaraka za magari saba kutoka kwa Meneja kampuni ya CMC tawi la Arusha Suresh Nathwani (kulia) jana katika hafla iliyofanyika katika viwanja vya AICC.Magari hayo yametolewa kama msaada na Umoja wa Ulaya (EU) kwa ajili ya mradi wa kuthibiti ugonjwa wa homa ya mafua ya ndege katika nchi wananchama wa jumuiya hiyo
Mtoto wa Mkulima na Zawadi ya Sarafu
Mazishi ya pamoja ya Wanafunzi 12 wa Sule ya Idodi katika picha
Waziri wa Elimu Prof Jumanne Maghembe akiweka shada maua.
Mmoja wa wafiwa akisaidiwa mara baada ya kushuhudia mazishi ya mwanae
Mbunge wa Isimani ambako ndiko iliko shule ya Idodi na Mkuu wa Mkoa wa Dar William Lukuvi akiweka shada.
Familia ikiomba mbele ya kabuli la pamoja.
Picha kwa hisani ya mdau Francis Godwin
Subscribe to:
Posts (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Prof Aloysius Mwessa Hnonoli ni Mbongo wa kwanza kuwa Mkurugenzi wa Muhimbili na Mkuu wa Chuo kikuu cha Tiba. Mstaafu huyu jana alitu...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...
-
Mineral occurrence in Tanzania by TMAA UONGEZAJI WA PATO LA MTANZANIA Mheshimiwa Spika, 46. Lengo la Dir...
-
Kina dada wengi hivi sasa imekuwa ni kawaida kwenye kila shughuri hasa za usiku kukuta wamevaa nguo fupi, wengi wanasema ni fashion...
-
Ukumbi huko nyuma ya Minara miwili ukiwa ni wa mviringo. Eneoe kubwa la chai na ukaguzi pamoja na usajili kwa waalikwa. Sehemu za waa...