October 19, 2011

Je Mh Lowassa amekata kiu yako au ulitarajia nini zaidi?

Magazeti kadhaa leo yalikuwa na heading tofauti kuhusu mkutano wa Mh Edward Lowassa, Mbunge wa Monduli, wengi walidhani au kutarajia yale ya Igunga kutokea Monduli wakati Rostam Aziz alipoachia ngazi chamani kwa kile alichokiita siasa uchwara za CCM, wengine walitarajia ule msemo wa umemwaga mboga namwaga ugali, pia mambo ya Richmond/Dowans/Symbion nk. 

Sina hakika kuwa kile kilichosikika na kuripotiwa toka katika mkutano ule kimekata kiu yako au kuwa ndicho kilichotarajiwa na wengi, sina hakika, labda ndicho au sicho, kila mtu ana jibu lake. 

No comments:

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...